FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ninachofahamu kwa uhakika wa 100% ni kwamba janga hutiliwa mkazo endapo tu kuna manufaa yanapatikana kwa kupitia Janga hilo, iwe ni magonjwa, matetemeko, mafuriko nk.
- Mfano kwa magonjwa, ukiona NGO inapigia sana kelele masuala ya Ukimwi kwa mfano, basi tambua kuna manufaa wanapata toka serikalini au kwingine kokote pale. Hali kadhalika kwa magonjwa mengine mengi tu.
- Huu ugonjwa wa Corona upo kweli na unaua, hilo halina ubishi, ila shida ni kwamba kuna magonjwa mengine hapa Tanzania yanayoua zaidi kuliko Corona, lakini husikii hizi kelele na msukumo mkubwa namna hii kutaka watu wachomwe chanjo. Ukiona Steve Nyerere anahamasisha chanjo jua kuna manufaa anapata, halikadhalika kwa wengine wote, wanamslahi na chanjo hizo, iwe kwa kuuza, kufanya udalali nk. Magonjwa kama Malaria yanaua zaidi lakini Steve Nyerere hajawahi kufanya kampeni ya kuhamasisha watu wavae neti usiku kabla ya kutoka nje, ni maslahi tu.
- Kwahiyo hapa dawa ni moja tu. Itungwe sheria kali ya kuzuia mtu kutamka au kuandika neno Corona popote pale na kwa namna yeyote. Hata tukihisi umewaza tu kitu kinachoitwa Corona, iwe ni kosa kisheria, na adhabu yake ikiwezekana iwe kunyongwa kabisa, nawapa siku 1 tu, Corona inaisha hapa Tanzania.
Ni hayo tu, na hayo ndio mawazo yangu, na ikatokea nimepata nafasi ya kufanya maamuzi katika hii dunia, nitatokomeza matatizo mengi sana kwa njia hiyo, maana matatizo huanzia kichwani, physical manifestation huja baada ya akili kukubali!
www.jamiiforums.com
- Mfano kwa magonjwa, ukiona NGO inapigia sana kelele masuala ya Ukimwi kwa mfano, basi tambua kuna manufaa wanapata toka serikalini au kwingine kokote pale. Hali kadhalika kwa magonjwa mengine mengi tu.
- Huu ugonjwa wa Corona upo kweli na unaua, hilo halina ubishi, ila shida ni kwamba kuna magonjwa mengine hapa Tanzania yanayoua zaidi kuliko Corona, lakini husikii hizi kelele na msukumo mkubwa namna hii kutaka watu wachomwe chanjo. Ukiona Steve Nyerere anahamasisha chanjo jua kuna manufaa anapata, halikadhalika kwa wengine wote, wanamslahi na chanjo hizo, iwe kwa kuuza, kufanya udalali nk. Magonjwa kama Malaria yanaua zaidi lakini Steve Nyerere hajawahi kufanya kampeni ya kuhamasisha watu wavae neti usiku kabla ya kutoka nje, ni maslahi tu.
- Kwahiyo hapa dawa ni moja tu. Itungwe sheria kali ya kuzuia mtu kutamka au kuandika neno Corona popote pale na kwa namna yeyote. Hata tukihisi umewaza tu kitu kinachoitwa Corona, iwe ni kosa kisheria, na adhabu yake ikiwezekana iwe kunyongwa kabisa, nawapa siku 1 tu, Corona inaisha hapa Tanzania.
Ni hayo tu, na hayo ndio mawazo yangu, na ikatokea nimepata nafasi ya kufanya maamuzi katika hii dunia, nitatokomeza matatizo mengi sana kwa njia hiyo, maana matatizo huanzia kichwani, physical manifestation huja baada ya akili kukubali!
Jifunze kuhusu PLACEBO na ufanikiwe Maishani!
Wanasayansi walifanya majaribio yafuatayo: waliita wanafunzi waleve 15, wakawaambia wanaombwa washiriki katika majaribio ya social science ya jinsi walevi wanavuo-socialize wakiwa pamoja, wakakubali. Wanafunzi hao walipewa kila mmoja glass yenye bia, ila ni glass tatu(3) tu ndio zilikuwa na bia...