Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Steve Nyerere hajawahi kufanya kampeni ya kuhamasisha watu wavae neti usiku kabla ya kutoka nje, ni maslahi tu.
Hebu fafanua kidogo hapa pa kuvaa net usiku kabla ya kutoka nje...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Steve Nyerere hajawahi kufanya kampeni ya kuhamasisha watu wavae neti usiku kabla ya kutoka nje, ni maslahi tu.
Wale wanaodhani bunduki na mahakama ni suluhisho la kila tatizo. Bado nchi yetu inashida sana mahali fulani pa uelewaNinamnukuu baba wa Taifa Mwl J.K. Nyerere
"Hatuwezi kupata suluhu ya matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo"
Mwasho wa kunukuu.
Mbona barakoa mnavaaWatu wavae neti usiku wakiwa wanatoka nje[emoji276]
Mbona barakoa mnavaa?Hebu fafanua kidogo hapa pa kuvaa net usiku kabla ya kutoka nje...
Mbona barakoa mnavaa?
Dah....huo upeo wako mrefu uko wapi mkuu?🤣🤣🤣🤭🤣 mkuu unaupeo mdogo sana!
Ndio hapo sasa, mtu anapocomment bila kutoa hojaDah....huo upeo wako mrefu uko wapi mkuu?🤣🤣🤣🤭
Mkuu hivi mnajua kusoma kweli..?Dah....huo upeo wako mrefu uko wapi mkuu?🤣🤣🤣🤭
Acha upofu ndugu..Ndio hapo sasa, mtu anapocomment bila kutoa hoja
Duh!Ninachofahamu kwa uhakika wa 100% ni kwamba janga hutiliwa mkazo endapo tu kuna manufaa yanapatikana kwa kupitia Janga hilo, iwe ni magonjwa, matetemeko, mafuriko nk.
- Mfano kwa magonjwa, ukiona NGO inapigia sana kelele masuala ya Ukimwi kwa mfano, basi tambua kuna manufaa wanapata toka serikalini au kwingine kokote pale. Hali kadhalika kwa magonjwa mengine mengi tu.
- Huu ugonjwa wa Corona upo kweli na unaua, hilo halina ubishi, ila shida ni kwamba kuna magonjwa mengine hapa Tanzania yanayoua zaidi kuliko Corona, lakini husikii hizi kelele na msukumo mkubwa namna hii kutaka watu wachomwe chanjo. Ukiona Steve Nyerere anahamasisha chanjo jua kuna manufaa anapata, halikadhalika kwa wengine wote, wanamslahi na chanjo hizo, iwe kwa kuuza, kufanya udalali nk. Magonjwa kama Malaria yanaua zaidi lakini Steve Nyerere hajawahi kufanya kampeni ya kuhamasisha watu wavae neti usiku kabla ya kutoka nje, ni maslahi tu.
- Kwahiyo hapa dawa ni moja tu. Itungwe sheria kali ya kuzuia mtu kutamka au kuandika neno Corona popote pale na kwa namna yeyote. Hata tukihisi umewaza tu kitu kinachoitwa Corona, iwe ni kosa kisheria, na adhabu yake ikiwezekana iwe kunyongwa kabisa, nawapa siku 1 tu, Corona inaisha hapa Tanzania.
Ni hayo tu, na hayo ndio mawazo yangu, na ikatokea nimepata nafasi ya kufanya maamuzi katika hii dunia, nitatokomeza matatizo mengi sana kwa njia hiyo, maana matatizo huanzia kichwani, physical manifestation huja baada ya akili kukubali!
Jifunze kuhusu PLACEBO na ufanikiwe Maishani!
Wanasayansi walifanya majaribio yafuatayo: waliita wanafunzi waleve 15, wakawaambia wanaombwa washiriki katika majaribio ya social science ya jinsi walevi wanavuo-socialize wakiwa pamoja, wakakubali. Wanafunzi hao walipewa kila mmoja glass yenye bia, ila ni glass tatu(3) tu ndio zilikuwa na bia...www.jamiiforums.com
Una dini mdogo wangu?Shida ni maslahi tu, hakuna mtu anaekupenda sana eti hataki uumwe corona, ni maslahi atakayopata ndio kikubwa kwao. Hata Steve Nyerere, utasikia kalamba bingo ndio maana anahamasisha chanjo, ila sio kwamba anakupenda sana
Fuata sera niliyoandikaDuh!
Kwa hiyo tufuate sera ya mbuni kuzika kichwa kwny mchanga ili kutatua matatizo?!
Jikite kwenye hoja, sio kutafuta huruma sentimentallyUna dini mdogo wangu?
Kama una dini basi nenda ukatubu.
Nimeona huamini kama binadamu anaweza kumpenda binadamu mwenzake.
Kingine umetaja adhabu za kuua watu kwasababu wamekukosea.
Una roho ya mauti. Au wewe siyo binadamu.
Duniani pana mengi.
Unampiga mgonjwa placebo, kisha unampa dawa stahiki. Maana kujua tu una Corona, tayari unaweza ukafa, kwa kujua tuMkuu hivi mnajua kusoma kweli..?
Mbona nilishamjibu kitambo Sana!
Hivi kwa hoja yake ya kukubali ugonjwa upo halafu mtu akiwaza tu anyongwe unaona hilo lipo sawa!..🤣 so mtu anaenda hospital anapimwa anagundulika anahuo ugonjwa so daktari aandike anaumwa gono na sio korona maana akiandika korona ananyongwa!.. what a fucking idea!😂