#COVID19 Hivi hii dunia tutahangaika na huu upuuzi wa Corona hadi lini? Dawa ni kutunga sheria tu

Steve Nyerere hajawahi kufanya kampeni ya kuhamasisha watu wavae neti usiku kabla ya kutoka nje, ni maslahi tu.

Hebu fafanua kidogo hapa pa kuvaa net usiku kabla ya kutoka nje...
 
Ninamnukuu baba wa Taifa Mwl J.K. Nyerere

"Hatuwezi kupata suluhu ya matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo"

Mwasho wa kunukuu.
Wale wanaodhani bunduki na mahakama ni suluhisho la kila tatizo. Bado nchi yetu inashida sana mahali fulani pa uelewa
 
Dah....huo upeo wako mrefu uko wapi mkuu?🤣🤣🤣🤭
Mkuu hivi mnajua kusoma kweli..?
Mbona nilishamjibu kitambo Sana!
Hivi kwa hoja yake ya kukubali ugonjwa upo halafu mtu akiwaza tu anyongwe unaona hilo lipo sawa!..🤣 so mtu anaenda hospital anapimwa anagundulika anahuo ugonjwa so daktari aandike anaumwa gono na sio korona maana akiandika korona ananyongwa!.. what a fucking idea!😂
 
Duh!
Kwa hiyo tufuate sera ya mbuni kuzika kichwa kwny mchanga ili kutatua matatizo?!
 
Shida ni maslahi tu, hakuna mtu anaekupenda sana eti hataki uumwe corona, ni maslahi atakayopata ndio kikubwa kwao. Hata Steve Nyerere, utasikia kalamba bingo ndio maana anahamasisha chanjo, ila sio kwamba anakupenda sana
Una dini mdogo wangu?
Kama una dini basi nenda ukatubu.
Nimeona huamini kama binadamu anaweza kumpenda binadamu mwenzake.
Kingine umetaja adhabu za kuua watu kwasababu wamekukosea.

Una roho ya mauti. Au wewe siyo binadamu.

Duniani pana mengi.
 
Una dini mdogo wangu?
Kama una dini basi nenda ukatubu.
Nimeona huamini kama binadamu anaweza kumpenda binadamu mwenzake.
Kingine umetaja adhabu za kuua watu kwasababu wamekukosea.

Una roho ya mauti. Au wewe siyo binadamu.

Duniani pana mengi.
Jikite kwenye hoja, sio kutafuta huruma sentimentally
 
Unampiga mgonjwa placebo, kisha unampa dawa stahiki. Maana kujua tu una Corona, tayari unaweza ukafa, kwa kujua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…