Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Pole sana i say,tafuta njia ya kumjulisha ubinafsi wake without actually telling her "we ni mchoyo wa kutoa babe" lasivyo machungu yako yatazidi huku ye anaona sawa tuu hajui ka inakuuma.
Mbishi ukimuambia kitu mtabisha a ade
 
😅😅😅 Sasa hivi najipenda sana , viatu kama vyote siwezi maliza miezi mitatu sijanunua viatu na nguo.
Mwezi huu tu nimenunua viatu pair mbili na vingine pair 2 nimeagiza from UK nategemea kuvipokea after 2 weeks
Mmmh
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Sasa hivi najipenda sana , viatu kama vyote siwezi maliza miezi mitatu sijanunua viatu na nguo.
Mwezi huu tu nimenunua viatu pair mbili na vingine pair 2 nimeagiza from UK nategemea kuvipokea after 2 weeks
Chai ya maziwa
 
Mmeanza kutufatilia,tuacheni tafadhali,maana najua sasa mtakwenda mpk kwenye boxer...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…