Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akinenepa, kanrnepea matatizo.Ndo hicho nilikuwa nasema,Yaan wanaume wachache sana kumkuta wamenenepa ndani ya ndoa😂🤭
Thanks💙Una majibu konki[emoji41],point point haikosekani..[emoji106]
😂😂😂😂Tulia tulia tafadhali..... tatizo tuna tamaa mkuu
Unakuta ni unene wa figo kufeli.Na akinenepa, kanrnepea matatizo.
Vitambi sio afya ni ulaji mbovuMbona mwanzoni baada ya kuoa vitambi huwa vinatokeza sana au sio afya?
Shangazi yangu alishamuachanisha mwanae na mke kupe. Yaani binamu yangu mpaka sasa anamshukuru mama yake.Na akuepushe kweli kweli, mmoja ni wadamu wengine ni kaka zangu wa kidunia. (hawa wakidunia sijawahi wasaidia kitu kikubwa, maana wako vizuri tayari hivyo sina hata mandate ya kuwasimanga)
Things wako nacho in common wote ni vipanga kweli kweli sasa sijui whats wrong with these people! Huyo mwingine anaambiwaga usiwasaidie kwenu ni wachawi watakuloga 😅 wakati mke kwao anapeleka kila msaada! What a manipulator! 😂😂😂😂
Hawa kaka zangu wa kidunia siwezi hata kuwashauri maana ni wakubwa sana kwangu, mmoja juzi akanifungukia kila kitu, nilimjibu kuwa Mwenyezi Mungu aendelee kukupa nguvu! 😂😂
Huyu niliyezaliwa nae huwa namchana tu simuogopi wala nini!
Ukisubiria ukulbukwe na ke utachina. Jipende mwenyewe kwanza. Wanaume wengi smart hata siku moja hawategemei wanawake , akiona kitu anakipenda anazama mfukoni ananunua. Wewe subiria mama yeyo, utaishia kuvaa mashati ya vitenge.Kabisa mom
Wanawake wengine kutoka kwao wanakuwa wametumwa "kazi"!Shangazi yangu alishamuachanisha mwanae na mke kupe. Yaani binamu yangu mpaka sasa anamshukuru mama yake.
Mgawanyo wa majukumu kwenye ndoa unafanya automatically wanaume tubebe majukumu mazito ya maendeleo na ustawi wa jamii, chunguza nyumba nyingi wanufaika ni ndugu na upande wa mke.Ukisubiria ukulbukwe na ke utachina. Jipende mwenyewe kwanza. Wanaume wengi smart hata siku moja hawategemei wanawake , akiona kitu anakipenda anazama mfukoni ananunua. Wewe subiria mama yeyo, utaishia kuvaa mashati ya vitenge.
Nilitaka ni post nilivyo tupilia Leo wife Huwa ni designer...🤓🤓😊😊Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.
Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.
Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.
Ndo hivo.
Wee acha tu ni mtihani.Wanawake wengine kutoka kwao wanakuwa wametumwa "kazi"!
Hataweza kunivumilia sijatuliaLabda nikuulize kinachokufanya usimuoe ni nini? Je una mke tayar? Hana sifa za kuwa mkeo ama ni kwa sababu ya sumu mnazojazana humu hamtaki kuoa japo najuaga wengi ni geresha tu. Na huwa nahisi umeoa wewe ila humu mnawadanganya wenzenu
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅 Dah aseeeh Kuna kipindi nilijisahau mpaka niliposhtuka nikawa najionea huruma.Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.
Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.
Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.
Ndo hivo.
🤣🤣🤣 mnanichekesha sana nyie watuNi mume wa mtu hata ivo