Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Kuna vitu sababu mi sijafanya inaniwia vigumu sana kuvisemea, Mi nachojua kuna watu wanapenda na akipenda anakuwa selfless sasa wenzi wao wanaitumia hii kwa faida yao. Kuna vitu mwanamume akikufanyia au kukukubalia inakuwa ni namna ya kusema nakupenda na nakuthamini, sababu anaweza asifanye na wala hawezi shitakiwa na Jamhuri!

Look, when i was a young girl nilidate huyo kaka alikua ananielewa sana, tulikuwa tunakaa mikoa tofauti, so nikimtembelea nakaa muda, ikifika muda wa kuondoka, labda mi naondoka na gari ya saa 4 ila yeye asubuhi saa moja anatakiwa aondoke aende job, na hawezi kurudi kunisindikiza, unajua mambo ya Dar tena, chakufanya kama anacash ananiachia kama hana ananiachia kadi yake ambayo alikuwa anaweka akiba zake humo, anakwambia utalipa nauli, utanunua vya kununua, utachukua poketi money halafu kadi utaenda nayo ntaichukua next time (coz haihitaji kukaa nayo muda wote)

Hakuna kitendo nilikuwa sipendi kama hicho, sababu kwa uoga wangu itanifanya nijilimit sana katika kutoa pesa, na pengine nisitumie kama ambavyo ningepewa naye ningetumia kwa raha na uhuru, halafu nilikua naona tu nimtego kwani si angenitumia inamaana yeye anakosa muda wa kwenda ATM akiwa on his way to job, enzi hizo mambo ya simu banking yalikuwa sio uhakika sana unaweza tumiwa hela sa hivi ikafika kesho, understandably! Nikionana nae tu ilikuwa lazima nimrudishie kadi yake hata kama hajaiomba, na wala haiombi na atakuuliza kwanini unairudisha, Ilikuwa nikiwa na kadi yake nikipata shida nikatoa pesa napiga simu kujieleza kama mshitakiwa 😂 I guess somethings goes with malezi na hulka.
Wewe ni mwanamke mwema!

Kama usemayo ni kweli mumeo anafaidi
 
Nimwambiaje sasa na mazingira gani na sababu ya kuhairisha
Labda nikuulize kinachokufanya usimuoe ni nini? Je una mke tayar? Hana sifa za kuwa mkeo ama ni kwa sababu ya sumu mnazojazana humu hamtaki kuoa japo najuaga wengi ni geresha tu. Na huwa nahisi umeoa wewe ila humu mnawadanganya wenzenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda nikuulize kinachokufanya usimuoe ni nini? Je una mke tayar? Hana sifa za kuwa mkeo ama ni kwa sababu ya sumu mnazojazana humu hamtaki kuoa japo najuaga wengi ni geresha tu. Na huwa nahisi umeoa wewe ila humu mnawadanganya wenzenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mume wa mtu hata ivo
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
Wanawake wengi wa kisasa hawajui wajibu wao kwenye ndoa, na haki za mwanaume kwenye ndoa ni zipi.

Haiwezekani Baraka ya ndoa kuleta Watoto ndio iwe sababu ya mume kukosa huduma za msingi kutoka kwa mke na mapenzi yote kuamia kwa watoto.
 
Wanawake wengi wa kisasa hawajui wajibu wao kwenye ndoa, na haki za mwanaume kwenye ndoa ni zipi.

Haiwezekani Baraka ya ndoa kuleta Watoto ndio iwe sababu ya mume kukosa huduma za msingi kutoka kwa mke na mapenzi yote kuamia kwa watoto.
Inahuzunisha sana....lakini ndo kizazi chetu mkuu
 
Bhna wewe iyo ni uongo mzeee

Watu wakiona ndio wanazidi kuwa smart na zaidi kuwa nadhifu
Ukiona mwanaume nadhifu , ujue ndoa bado ni mpya !!
Mkisha kaa miaka kadhaa ,si ajabu kukkuta mtu kola haijaiaa sawa na yupo kwenye dala dala tayari.
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
Nina kupata vyema.
 
Inahuzunisha sana....lakini ndo kizazi chetu mkuu
Sasa kwa mfano mwanamke hataki kumpa tendo la ndoa mume wake halali hapo maana yake mwanaume plan B afanyaje?

Kitu ambacho wanaume asilimia kubwa tulifeli tangu mwanzoni ni kutokuowa wanawake ambao ni type yetu.

Mfano kitoto cha kizaramo kizuri kusex ndio passion yake Wewe humtaki kwa Sababu nyingi tu kama elimu, family status na ujinga mwingine mwingi tu.

Ndoa nyingi hasa za kisiasa watu wameowana wasioendena ndio shida zote hizi, wewe wale mnaopiga shangwe wote beach Kidimbwi hutaki kumuowa unataka kumuowa mtoto wa Sheikh na yeye pombe hapendi basi kelele haziishi ndani ya nyumba, kumbe ungemkokota mcharuko mwenzako na kumpa terms za maisha anatulia vizuri sana na huko Kidimbwi mtakwenda mkipanga, hawa ndio wake bora kabisa ukirudi home unaulizwa Mr utaanzia mezani au una anza na Mimi? Hapo UDI na mafusho mengine ndio yanatawala nyumba.

Hapo mtoto wa mama mkwe lazima anenepe na nyumbani kunakalika kwa sababu ya utulivu.
 
Ukiona mwanaume nadhifu , ujue ndoa bado ni mpya !!
Mkisha kaa miaka kadhaa ,si ajabu kukkuta mtu kola haijaiaa sawa na yupo kwenye dala dala tayari.
Ndio zile wananunuwaga vitenge mke na mume wanashona vitenge ndio mtoko wa kanisani jumapili kama hivi.
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
At least Kuna mwanamke mmoja anayejielew hapa,
Asante To yeye
 
Bora wewe mwanamke useme labda watakusikia.

I have two brothers... Si ajabu ukawakuta hawana hata mia na ni mwanzo wa mwezi, eti pesa yao inashikiliwa na wake zao! Mimi naishiaga kusema heee! Nikilalamiga naambiwaga nawaonea wivu mawifi zangu 😂 Wasichojua ni kuwa huwa nyuma ya pazia nawapiga tafu sana waume zao sometimes kwa pesa au michongo.

Ukioa/Olewa by manipulation au vyovyote ukawa unamtesa mwenzi wako, jiulize ndugu zake wanajisikiaje, mama yake au baba yake anajisikiaje? Ndugu zako hawawezi kujisikia chochote sababu yawezekana wao ni wanufaika wa huo utapeli.

Hili somo lilinifanya nijiapize kuwa nina option mbili tu, either nisiolewe kabisa, au nikiolewa nisipeleke shida kwenye familia ya watu! Namshukuru Mungu ya pili ilishatimia.

Na ninyi wanaume oeni saizi zenu, bila kujua mnazisononesha sana familia zenu!
Vyema.
 
Back
Top Bottom