Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Ilinitokea hii............................................
Yaani nataka tutoke out, hapo jinzi zote zimepauka halafu eti kananichagulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Yeye kapendeza nikasema siwezi kuonekana kama mchimbaji wa migodi ya dhahabu chunya.

Hivyo nikawapigia boda boda wa pale City lounge ninaye mjua alete chakula Nyumbani.

Kaka nuna eti sitaki kumtoa out halafu kesho yake kanaomba jiwe mbili kakafanye shopping ya nguo yeye na mtoto wetu.
Huyo ni Narcissist mkuu

Tapeli mkubwa sana hajali kabisa kuhusu wewe
 
Mwanamke asipomhimiza mwanaume ajipende kwa kununua nguo nzuri au mwanamke ajitoe amnunulie aisee Wanaume waliooa utajikutaa unavaa nguo Mpauko kwa kujirudiaa miakaa nenda rudiii... Sababu ni MAJUKUMU yani unapanga kabisa hela ninunue kadet na mashati aisee siku uliyopata mshahara pitiliza kununuaa Ukisema utanunua hela ikibaki baada ya matumizi ndo imeishaa hiyoo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwanamke asipomhimiza mwanaume ajipende kwa kununua nguo nzuri au mwanamke ajitoe amnunulie aisee Wanaume waliooa utajikutaa unavaa nguo Mpauko kwa kujirudiaa miakaa nenda rudiii... Sababu ni MAJUKUMU yani unapanga kabisa hela ninunue kadet na mashati aisee siku uliyopata mshahara pitiliza kununuaa Ukisema utanunua hela ikibaki baada ya matumizi ndo imeishaa hiyoo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂Mnahatari sana nyinyi
 
Back
Top Bottom