Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatuchukuliaga poa sana yan🤣Ha ha ha,kumbe!
Wewe ungekua mwanaume ungekubali kuoa kwa hali kama hio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]
Kwa hyo unamuahidi utamuoa na kumbe huna huo mpango?tabia mbaya motoni utachomwa na moto wa gas.Aisee sijui nifanyeje kwa yule binti tumeivana sana halafu mwenzake sina mpango wa ndoa yeye anajua mwakani February tunafunga ndoa. [emoji3][emoji3][emoji3] Utamuweza?
Hebu nipe ushauri nafanyeje kikweli mimi mwenyewe sijisikii vizuri nataka niile mbususu mara ya mwisho halafu nimwambieKwa hyo unamuahidi utamuoa na kumbe huna huo mpango?tabia mbaya motoni utachomwa na moto wa gas.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan huyu kaka kanitoka kweliKwa hyo unamuahidi utamuoa na kumbe huna huo mpango?tabia mbaya motoni utachomwa na moto wa gas.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini To yeye? Naombeni ushauri wenuYaan huyu kaka kanitoka kweli
Huyo ni Narcissist mkuuIlinitokea hii............................................
Yaani nataka tutoke out, hapo jinzi zote zimepauka halafu eti kananichagulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Yeye kapendeza nikasema siwezi kuonekana kama mchimbaji wa migodi ya dhahabu chunya.
Hivyo nikawapigia boda boda wa pale City lounge ninaye mjua alete chakula Nyumbani.
Kaka nuna eti sitaki kumtoa out halafu kesho yake kanaomba jiwe mbili kakafanye shopping ya nguo yeye na mtoto wetu.
Sawa kwa hiyo nifanyeje ili tuachane kistaarabu ili hata akija kuolewa tuwe tunapasha viporo?Jitahidi mambo yako hayo ya unyanyasaji usiyaweke hadharani... please
Ok niko serious sasa wewe na Kelsea nishaurini nimwambiaje najua ataumia sana na tayari nishayakorogaHaya hongera bhana
Muambie ukweli huyo dada asiendelee kupoteza muda.Hebu nipe ushauri nafanyeje kikweli mimi mwenyewe sijisikii vizuri nataka niile mbususu mara ya mwisho halafu nimwambie
Nimwambiaje sasa na mazingira gani na sababu ya kuhairisha
😂😂😂Mnahatari sana nyinyiMwanamke asipomhimiza mwanaume ajipende kwa kununua nguo nzuri au mwanamke ajitoe amnunulie aisee Wanaume waliooa utajikutaa unavaa nguo Mpauko kwa kujirudiaa miakaa nenda rudiii... Sababu ni MAJUKUMU yani unapanga kabisa hela ninunue kadet na mashati aisee siku uliyopata mshahara pitiliza kununuaa Ukisema utanunua hela ikibaki baada ya matumizi ndo imeishaa hiyoo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]