Hivi hii harufu ya baadhi ya mitaa ya jijini Dar naisikia peke yangu tu?



Huenda ndio maana madhara ya kisaikolojia yapo mpaka Kwa Viongozi wengi
 
Utakua mgeni wa huu mji,wenyeji hawaisikii hii harufu hata
 
Ila dar kuna sehemu ukipita lazima upandishe vioo aisee unabaki kujiuliza hawa watu wa sehemu hii haruf hii hawaisikii au
 
Ni sawa na ile harufu ukiwa unajisaidia Haja kubwa!?
 
Watu wanafukua mavi kwa binadamu wenzao daily wataisikiaje ya barabarani?
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaaa ni kweli..hata ukiwa unatoka mkoani ukiwa unaingia tu dar unaanza kusikia harufu za ajabu ajabu...ni harufu mbaya
Umesema kweli kabisa yani ukiingia Dar cha kwanza ni harufu za hovyo za uchafu mitaro michagu imekua kero watu wanachuruzisha maji machafu yanayotuama kwa muda mrefu
 
Ni kweli daslm ukiwa unaingia tuu kutoka mkoani lipo joto na harufu fulani sio ya kawaida ila wenyeji wameizoea hata uonges vip watakushangaa maeneo mengi harufu sio nzuri kabisa mimi mwanzo nilijua kwa sababu ya msongamano wa watu wengi katika eneo dogo na umwagaji wa maji taka toka viwandani..
 
Ila kuna maeneo dar yanatia kinyaa....hasa maeneo ya kkoo, sometime utakuta chemba zinatoa mavi kama chemchem yanatiririka kwenda pasipo julikana na watu wapo wamepanga bidhaa zao wanauza bila aibu....sema dar kuna pisi za kila sampuli
 
Ila kuna maeneo dar yanatia kinyaa....hasa maeneo ya kkoo, sometime utakuta chemba zinatoa mavi kama chemchem yanatiririka kwenda pasipo julikana na watu wapo wamepanga bidhaa zao wanauza bila aibu....sema dar kuna pisi za kila sampuli


πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Chem chem ya Mavi
 


Wapewe medali za uchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…