Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #161
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanafukua mavi kwa binadamu wenzao daily wataisikiaje ya barabarani?
Munye nyie afu tuzoe sisi? Tuliwatuma kuishi huko Dar?
Ni sawa na ile harufu ukiwa unajisaidia Haja kubwa!?
Nyie watoto wa kike mna tabu sana mkitoka kwa ma bwana zenu
Nakushaur usifike maeneo haya utafia njianWakuu Kwema!
Aisee! Baada ya kutoka kuzurura huko Duniani, sitaki kupataja nisijeonekana najikosha hapa, na wenye nongwa zao na vijiba vya roho wasije nitolea mvuke wa ushubwada. Ila ifahamike tuu nimetoka huko Dunia ilipo.
Kwa kweli Dar inanuka vibaya mno. Inanuka vitu mfano wa mavi, sijasema ni mavi jamani Ila ni Kama hivyo.
Yaani Asilimia kubwa ya Maeneo yananuka chemba za maji taka. Nashindwa Kueleza hapa. Sitaki kugombana na wenye DAR Yao, sitaki kabisa. Maana najua wapo wanayoipenda, ikumbukwe siiongelei Jambo hili Kwa ni mbaya lakini naongea ili Jambo Fulani lifanyike.
Alafu ukiwaona wakazi wa Dar ni Kana kwamba hawaisikii hiyo harufu, pengine wamekuwa sehemu ya harufu yenyewe, sijasema watu wa DAR mnanuka chemba za maji taka 😃😃😃. Maana wenye hasira hamkosekani.
Hata hivyo akili yangu ikanambia sio rahisi watu WA DAR kuisikia hiyo harufu mbaya ya mavi Kwa maana maisha yao ni yataabu Sana. Taabu zimeua mishipa ya Nostril ndani ya pua. Hawezi kunususa tena.
Hasa watu masikini wapanda Daladala, hawa ndio wanaoonja joto ya jiwe,hata hivyo wenyewe ni Kama joto Hilo hawalisikii kwani taabu imewafubaza na kuwafanya waone kila kitu Kama kipo Sawa.
Kipindi nasoma pale Udsm wala sikuwa najua DAR inanuka, nimekaa zaidi ya miaka mitano Kama sio sita sikuwa naona hizo harufu. Labda Maeneo ya Tandale huko na viunga vya makazi ya WALIA NA MUNGU watu fukara apeche Alolo.
Najiuliza niliwezaje kuishi miaka mitano kipindi kile?
Nafikiri serikali ipitie tena miundombinu ya taka hasa mitaro ya maji taka ili mji usiwe jiji la harufu mbaya.
Wananchi wa Dar nanyi mjitahidi kuwa wasafi hata Kama mmezoea harufu yenu mbaya kumbukeni wageni Kama Sisi tunaotoka Duniani tunakujaga pia kuwasalimu.
Muwe na Haya hata kidogo.
Taikon nitakuwa DAR Kwa wiki tatu mfululizo kabla sijaenda kudhuru Zanzibar nikielekea kuchumbia Visiwa vya Comoro.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Keko mabondeni!Kwani umefikia wapi? Huko kunakonuka wenzio wanatajirikia huko huko.
Nakushaur usifike maeneo haya utafia njian
Posta feri
Vingungut hasa hasa machinjion
Mbagala
Mazizin moshi bar uko ndan ndan huko
Tandika
Kijiwe samli
Bugurun
Tafadhari beba ns mitung ya oxygen
Uko sawaTena pale Makumbusho Stend ndio sitaki kupasikia.
Pananuka utadhani nini. Nusura Nitapike lakini ajabu ni kuwa Mimi pekee ndiye niliyeonekana kukerwa na harufu Ile watu wengine hata hawana habari
Hata mikocheni pananuka tu, lakini sisi wenyewe tushatengeneza kinga kwa ajili ya hiyo harufu ndio maana hatuisikii kabisa, na wewe pia kwa kuwa kinga yako ilikuwa imeshuka baada ya kuishi huko duniani kwa muda sasa umerudi endelea kujichanganya tu kinga zako zitarudi kama zamani hutoisikia tena harufu mbaya kama ulivyokuwa zamani kabla hujaenda huko Duniani, karibu sana DarKwa wenye akili Utajiri unapatikana popote, hauko limited.
Nikefikia Mikocheni
Hata mikocheni pananuka tu, lakini sisi wenyewe tushatengeneza kinga kwa ajili ya hiyo harufu ndio maana hatuisikii kabisa, na wewe pia kwa kuwa kinga yako ilikuwa imeshuka baada ya kuishi huko duniani kwa muda sasa umerudi endelea kujichanganya tu kinga zako zitarudi kama zamani hutoisikia tena harufu mbaya kama ulivyokuwa zamani kabla hujaenda huko Duniani, karibu sana Dar
Karibu sana Mara nyingine,Mimi nawaachia limji lenu
Halafu wakazi wake walio wengi hususani wazawa, hujikuta 'much know' mno, yaani u-match know mwingi mno, kichwani chenga tu. Mimi nawaona(ga) washamba tu yaani!Mimi nawaachia limji lenu
Naunga mkono hojaNi kweli...
Ile barabara ya Sinza kijiweni kuelekea kwa mtogole inanuka mavi..nadhani wanapitisha maji ya chooni kwenye mtaro wa maji. Ndo Sinza kwa wajanja hiyo
Hakuna Mjanja aliyezaliwa DAR bila kwenda mikoani au nje ya nchi.Halafu wakazi wake walio wengi hususani wazawa, hujikuta 'much know' mno, yaani u-match know mwingi mno, kichwani chenga tu. Mimi nawaona(ga) washamba tu yaani!
Sent using Jamii Forums mobile app