Hivi hii harufu ya baadhi ya mitaa ya jijini Dar naisikia peke yangu tu?

Nakushaur usifike maeneo haya utafia njian
Posta feri
Vingungut hasa hasa machinjion
Mbagala
Mazizin moshi bar uko ndan ndan huko
Tandika
Kijiwe samli
Bugurun

Tafadhari beba ns mitung ya oxygen
 
Nakushaur usifike maeneo haya utafia njian
Posta feri
Vingungut hasa hasa machinjion
Mbagala
Mazizin moshi bar uko ndan ndan huko
Tandika
Kijiwe samli
Bugurun

Tafadhari beba ns mitung ya oxygen

🤣🤣🤣🤣

Hili ni tishio sasa
 
Tena pale Makumbusho Stend ndio sitaki kupasikia.
Pananuka utadhani nini. Nusura Nitapike lakini ajabu ni kuwa Mimi pekee ndiye niliyeonekana kukerwa na harufu Ile watu wengine hata hawana habari
Uko sawa
 
Kwa wenye akili Utajiri unapatikana popote, hauko limited.

Nikefikia Mikocheni
Hata mikocheni pananuka tu, lakini sisi wenyewe tushatengeneza kinga kwa ajili ya hiyo harufu ndio maana hatuisikii kabisa, na wewe pia kwa kuwa kinga yako ilikuwa imeshuka baada ya kuishi huko duniani kwa muda sasa umerudi endelea kujichanganya tu kinga zako zitarudi kama zamani hutoisikia tena harufu mbaya kama ulivyokuwa zamani kabla hujaenda huko Duniani, karibu sana Dar
 


Mimi nawaachia limji lenu
 
Yaani hapo hawawezi kukuelewa hata kidogo, watoto wengi wazawa wa Dar hawana adabu wala heshima kwa wakubwa zao, hili lipo wazi.

Wana kauli chafu na hawana maneno ya busara, haijalishi ni nani yupo karibu yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DAR ES SALAAM NI CHAFU

DAR ES SALAAM INANUKA

Maeneo ya DAR ES SALAAM YALIOZA SIKU NYINGI

Umeandika Ukweli mtupu, wakazi wa Dar es salaam wengi hawasikii hiyo harufu ya mavimavi kwasababu wameizoea sana

Kuna harufu ya chemba za vinyesi na majalala
 
Asalamaleko Mzizima.
Asalamaleko DarSlum jiji la wavuja jasho.

-Kaveli-
 
DarSlum yote kwa ujumla, ventilation ni mbovu sana kutokana na mbanano wa watu na makazi, with very poor sewage systems around the city.

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…