Duh ila kuna watu wana roho ngumu. Kazi ya zege unamlipa mtu 13,000 kwa siku?Mambo vipi wakuu Natumaini mko poa kabisa, niende kwenye mada Moja kwa Moja, ni hivi toka jumatatu nilikuwa kama kibarua kwenye kumwanga zege baadhi ya maeneo,.
Kiasi tulichokubaliana ni kwa siku ni sh 13000 na kazi ilikuwa inatakiwa iishe Leo jumatano jioni, lakini cha ajabu tumelipwa jumatatu hiyo 13000 ila Jana na Leo ni chenga tu mara tuzungushwe tu majibu hayaeleweki ebu mnisaidie wadau nifanyeje na Ile hela imeisha toka jumatatu usiku,
Naomba msaada wenu tafadhali 🙏 🙏
Usiku huu Sina kitu
Hiyo kubwa bei elekezi ni 10000Duh ila kuna watu wana roho ngumu. Kazi ya zege unamlipa mtu 13,000 kwa siku?
Mbona hiyo nyingi, sehem niliyopo ni 10000 kwa siku.Duh ila kuna watu wana roho ngumu. Kazi ya zege unamlipa mtu 13,000 kwa siku?
Kabisa.Hiyo kubwa bei elekezi ni 10000
Dunia haina usawa.....Duh ila kuna watu wana roho ngumu. Kazi ya zege unamlipa mtu 13,000 kwa siku?
Aisee!Hiyo kubwa bei elekezi ni 10000
Pole sana mwanetuUsiku huu Sina kitu
Na hiyo hiyo 13,000 anamzungusha nayo hamlipi kwa wakati.Duh ila kuna watu wana roho ngumu. Kazi ya zege unamlipa mtu 13,000 kwa siku?