Mambo vipi wakuu Natumaini mko poa kabisa, niende kwenye mada Moja kwa Moja, ni hivi toka jumatatu nilikuwa kama kibarua kwenye kumwanga zege baadhi ya maeneo,.
Kiasi tulichokubaliana ni kwa siku ni sh 13000 na kazi ilikuwa inatakiwa iishe Leo jumatano jioni, lakini cha ajabu tumelipwa jumatatu hiyo 13000 ila Jana na Leo ni chenga tu mara tuzungushwe tu majibu hayaeleweki ebu mnisaidie wadau nifanyeje na Ile hela imeisha toka jumatatu usiku,
Naomba msaada wenu tafadhali 🙏 🙏
Usiku huu Sina kitu
Kiasi tulichokubaliana ni kwa siku ni sh 13000 na kazi ilikuwa inatakiwa iishe Leo jumatano jioni, lakini cha ajabu tumelipwa jumatatu hiyo 13000 ila Jana na Leo ni chenga tu mara tuzungushwe tu majibu hayaeleweki ebu mnisaidie wadau nifanyeje na Ile hela imeisha toka jumatatu usiku,
Naomba msaada wenu tafadhali 🙏 🙏
Usiku huu Sina kitu