Hivi hii issue imekaaje viongozi?

Hivi hii issue imekaaje viongozi?

Juzi nilikuwa nimekaa na mdogo wangu huyu dogo ni binamu yangu. Ni dogo ambae tumesaidiana sana toka wadogo na nimemlea pia maana yeye ni 2003 uko na mzidi sana.

Issue iko hivi dogo ana niheshimu sana sina shida na heshima yake kwangu lakini kwenye simu yake kanisave jina langu kavu kabisa eti "Nkundwe" wakati Mimi wakubwa wangu kwangu wote, dada zangu na kaka zangu nimesave mfano Dada FaizaFoxy.

Huyu dogo nimemuona ananidhamu mbaya na ya uoga.

NB: Nimekata msaada kwake kama mabeberu.
Duuh, sikuwahi kufikiria kama kuna watu ni mafala kiasi hiki[emoji16][emoji16].
 
Kuna mtoto wa sister yuko form6
Nilikuta kuamsave baba yake "Faru" na mama yake "Mnoko"
Watoto wetu hao achana na hao wadogo zetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora hata ange save, "kaka nkundwe"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Ila heshima sio kuseviwa kwa cm, ni matendoo
 
Back
Top Bottom