Hivi hii miradi anayozindua Rais Samia kuna mradi wowote aliouanzisha yeye Ukitoa aliyoikuta ya Hayati Magufuli?

Hivi hii miradi anayozindua Rais Samia kuna mradi wowote aliouanzisha yeye Ukitoa aliyoikuta ya Hayati Magufuli?

Big dady 11

Senior Member
Joined
May 21, 2023
Posts
109
Reaction score
128
Mm sio mtu wa siasa ila nmekuwa nkijiuliza haya maswal nkaona nilete Uzi huu nipate kujua ukwel maana mwezi wa 10 sio mbali

Nmekuwa nliona tangu mwaka unaanza mama anaenda kuzindua miradi mbali mbali..
Na kusifiwa sana

Je ni miradi aliyoisamia yeye kuanzia 0 Hadi 100 au ni miradi aliyoikuta ipo na kumalizia tu
 
Kazindua kizimkazi festival, kitumbua cha mama, goli la mama, royal tour.

Huyu bibi mpaka siku atayoondoka madarakani hakuna la maana atakaloanzisha.
 
Mm sio mtu wa siasa ila nmekuwa nkijiuliza haya maswal nkaona nilete Uzi huu nipate kujua ukwel maana mwezi wa 10 sio mbali

Nmekuwa nliona tangu mwaka unaanza mama anaenda kuzindua miradi mbali mbali..
Na kusifiwa sana

Je ni miradi aliyoisamia yeye kuanzia 0 Hadi 100 au ni miradi aliyoikuta ipo na kumalizia tu
Alikuwa makamu wa rais anasitahili sifa
 
Ntakua tofauti na wengi ambao wao ni kukejeli kila jitihada za viongozi chini ya ccm.
Kweli samia aliingia pale machi 2021 kuchukua kijiti, na katika hotuba zake nyingi alisema alikabiliwa na miradi mingu sana mikubwa ya maendeleo aliachiwa na hayati, na akasisitizi ataiendeleza kwa manufaa ya wananchi na maendeleo ya nchi.

Ila nikirecall, nakumbuka chanjo ya uviko ile covax aliipambania kupunguza maambukizi na janga lile.

Kuvutia uwekezaji mpya, juzi nilikua naskia Kuna miradi zaidi ya 900 mipya kwa mwaka 2024 tu na haijawahi fikiwa. Almost dolla bilioni 120.

Also royal tour imeshoot sana tourism bongo.

Kuna ile barabara ya kaengesa mpaka chitete sumbawanga huko, aliweka jiwe la msingi.
Hospitali na vitu vya afya zaidi ya 1300 ni kati ya miradi yake.
Kuna ule mradi wa boost almost shule za msingi 400 zimesukwa. Mradi wa boost ulikua almost trilioni 1 vyumba vya madarasa 4000.
Mimi nafahamu hayo, na haya niliyashika last year, mzee wangu akiwa amelazwa pale gairo hospitali ya wilaya alokua akiizindua mwezi wa saba ule. Ile hospitali nzuri saaaaaana.
Baba yangu alikuja akafariki bochi lakini pale alikua attended vizuri sana tukatoka nae safi. So ana miradi mingi yake mwenyewe kama yeye. Kuachana ile ya magufuli ambayo mingi hata kama ameimalizia mingi imebaki kama ghost tu.
 
Mm sio mtu wa siasa ila nmekuwa nkijiuliza haya maswal nkaona nilete Uzi huu nipate kujua ukwel maana mwezi wa 10 sio mbali

Nmekuwa nliona tangu mwaka unaanza mama anaenda kuzindua miradi mbali mbali..
Na kusifiwa sana

Je ni miradi aliyoisamia yeye kuanzia 0 Hadi 100 au ni miradi aliyoikuta ipo na kumalizia tu
Buggest credit kwake ni kukamilisha miradi na kuokoa matrilioni kuliko kuua miradi na kunzisha yake
 
Mm sio mtu wa siasa ila nmekuwa nkijiuliza haya maswal nkaona nilete Uzi huu nipate kujua ukwel maana mwezi wa 10 sio mbali

Nmekuwa nliona tangu mwaka unaanza mama anaenda kuzindua miradi mbali mbali..
Na kusifiwa sana

Je ni miradi aliyoisamia yeye kuanzia 0 Hadi 100 au ni miradi aliyoikuta ipo na kumalizia tu
Miradi aliyoanzisha Saa100 hii hapa👇
 

Attachments

  • millardayo_87586b7fde804f1793b45dcc73d99f50.jpg
    millardayo_87586b7fde804f1793b45dcc73d99f50.jpg
    180.4 KB · Views: 1
  • millardayo_a60d2b2aa8534d76a0ad5fc7153ab0cd.jpg
    millardayo_a60d2b2aa8534d76a0ad5fc7153ab0cd.jpg
    148.8 KB · Views: 1
Miradi yote ipo kwenye mpango wa taifa wa miaka 5, hakuna mradi wa Magu wala nini. Yoyote anaweza kuanza na wengine kuendeleza.
 
As i can recall ilan ya 2020 to 2025 ,imefanyiwa kazi kwa asilimia 30 tu.
 
Mm sio mtu wa siasa ila nmekuwa nkijiuliza haya maswal nkaona nilete Uzi huu nipate kujua ukwel maana mwezi wa 10 sio mbali

Nmekuwa nliona tangu mwaka unaanza mama anaenda kuzindua miradi mbali mbali..
Na kusifiwa sana

Je ni miradi aliyoisamia yeye kuanzia 0 Hadi 100 au ni miradi aliyoikuta ipo na kumalizia tu
Umeshindwa kabisa kuficha upumbavu wako? Unashindwa kujua hakuna mradi wa Magu ila kuna miradi ya taifa inayogharamiwa na watanzania wote? Ulitaka aanzishe mingine na kuua miradi iliyokuwa inaendelea?...... kuna muda usiwe mpumbavu kuandika uzi bila kufikiria. Halafu pia elewa miradi aliyoirithi ni ya pesa nyingi mno kiasi kwamba inahitaji utulivu mno kuweza kuikamilisha.
 
It doesnt matter

A hater will alwaya hate
Kabisa mkuu, hii mi haters imepigwa mihuri ya moto moyoni mwao ya kumchukia mama hivyo haiwezi kuona Wala kuelewa ukweli wowote ule hata uwe wazi vipi!
Sasa mtu amekamilisha miradi kibao.....stigliers, daraja la wami, busisi, sgr, ndege, mahospitali hayana idadi Kila Kanda, barabara, mashule hayana idadi ya kawaida na maalumu (Kila mkoa), maslahi ya wafanyakazi, ukusanyaji wa Kodi, ajira, bandari nyingi tu, maofisi ya halmashauri n.k halafu unakuja hii kutema nyongo zao hapa. Sasa ilibidi iweje, kurundika mamiradi tu isiyokuwa kwenye mpango?!!!
Magufuli mbona amesifiwa sana tu kwa miradi ambayo Wala hakuianzosha yeye?!!! Mwendokasi, mtandao wa barabara aliasisi yeye?!!!

Kwangu Mimi, hakuna Raisi aliyewahi kuleta mabadiliko makubwa sana ya kijamii zaidi Samia Suluhu Hassan. Ndo maana namtambua kama The Mother of Modern Tanzania. Haters endeleeni kutukana na kutoa matamanio yenu ya kishetani.
 
Back
Top Bottom