yaani unampa binti yako na sehemu ya kumkazia pia
Sikumaanisha akae chini na mumewe mtarajiwa wadiscuss, bali a note vitu ambavyo hapo kwa mume havipo na wakati ananunuliwa zawadi apendekeze hivo vitu. Hii itaepuka kuwa na vitu double na pengine ununuliwe vitu ambavyo kiukweli hauvihitaji mwishowe unaviacha tu kwenu sababu hamna nafasi etc.Bi dora Kwa muktadha huo huoni kwamba wengine wanaweza kutumia mwanya huo kuoa kwa lengo la kujipatia vyombo vya kuanzia maisha? Imagine mimi naishi huku Nyampulukano kisha namuoa bhooke kutoka majita huko kasoma Mara na anapewa mavitu vitu yote hayo kisha namuacha namuoa Nyanzige huoni kwamba huko ni kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu?
Utakuwa huna mahesabu, hiyo pesa utakayotumia kwenye mahari, maandalizi ya harusi si bora ununue vyombo?Bi dora Kwa muktadha huo huoni kwamba wengine wanaweza kutumia mwanya huo kuoa kwa lengo la kujipatia vyombo vya kuanzia maisha? Imagine mimi naishi huku Nyampulukano kisha namuoa bhooke kutoka majita huko kasoma Mara na anapewa mavitu vitu yote hayo kisha namuacha namuoa Nyanzige huoni kwamba huko ni kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu?
Kumtunza sio kumpa laki,kumtunza ni kununua maharagwe,sukari na unga na kuviweka ndani.
Habari zenu wanandugu!!!
Nimekuwa mshenga nasimamia harusi ya ndugu yangu. Jana tulikuwa tunawaza zawadi ya bibi harusi tukataja mambo mengi sana. Kisha nikawaza..
1. kuna haja kweli ya familia ya bibi harusi kumnunulia kila kitu binti yao wakati anaenda kuolewa? yaani kitanda, kabati, vyombo, mashuka hadi nguo za ndani night dress etc
2. Sasa kazi ya bwana harusi ni nini? yaani unampa binti yako na sehemu ya kumkazia pia?
3. Hatuoni ya kwamba ile hali ya maharusi kuanza kwa pamoja wanajichanga kidogokidogo wanafanikisha kitanda kabati tv mpaka wanakuwa wakubwa hujenga bond nzuri katika mahusiano?
4. Hatuoni ya kwamba kumpatia kila kitu ni sawa na kumuambia kaa ukiwa tayari kusepa kwenda kupanga?
5. Kwa wanaume ambao mmeoa mkakuta kila kitu uanaume wenu unakaa wapi? au mnajisikia hali gani?
karibuni wadau