The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Nawashangaa Sana mnaoshabikia Yanga na watz Kwa ujumla. Hawa majamaa wanadidimiza wachezaji wazawa kabisaa.
Hata mkisema mi mbaguzi Sawa tu.
Hata mkisema mi mbaguzi Sawa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo we ulitakaje....!!?Nawashangaa Sana mnaoshabikia Yanga na watz Kwa ujumla
Hawa majamaa wanadidimiza wachezaji wazawa kabisaa.
Hata mkisema mi mbaguzi Sawa tu
View attachment 2617127
Mkuze vipaji vya ndani. Check taifa stars inavyobondwa bondwa kimataifa na vi nchi vidogo tuKwahiyo we ulitakaje....!!?
SawaMkuze vipaji vya ndani. Check taifa stars inavyobondwa bondwa kimataifa na vi nchi vidogo tu
Hujui chochote kuhusiana na mpira,Mkuze vipaji vya ndani. Check taifa stars inavyobondwa bondwa kimataifa na vi nchi vidogo tu
Bakari Nondo Mwam NYETO inamaana haujamuona hapo kwenye picha au hujui maana ya Young Africans sio Young Tanzanians, ushaelewa au nikuzibue mkofi wa kisogo kwenye bunyero ndio uelewe ?Mkuze vipaji vya ndani. Check taifa stars inavyobondwa bondwa kimataifa na vi nchi vidogo tu
Piga haswa mbili bila shindilia ndaniBinafsi enjoy maisha yako ukipata pakupiga piga sana✌️
Onyango..kanoute..CHAPOMBE..SAKHO..[emoji37][emoji37][emoji37]Nawashangaa Sana mnaoshabikia Yanga na watz Kwa ujumla. Hawa majamaa wanadidimiza wachezaji wazawa kabisaa.
Hata mkisema mi mbaguzi Sawa tu.
View attachment 2617127
Leo wanasimba mtaandika na matakoo yani mkono hauwatoshiNawashangaa Sana mnaoshabikia Yanga na watz Kwa ujumla. Hawa majamaa wanadidimiza wachezaji wazawa kabisaa.
Hata mkisema mi mbaguzi Sawa tu.
View attachment 2617127
Unalinganisha uingereza na bango hauko serious wewe. Huko timu Taifa wanagombania NambaHujui chochote kuhusiana na mpira,
Kuna mwaka Timu ya Arsenal iliwahi kuanzisha first eleven bila mchezaji muingereza hata mmoja, pia hata Substitution walikuwa wageni watupu
Mtateseka sana mwaka huu.Nawashangaa Sana mnaoshabikia Yanga na watz Kwa ujumla. Hawa majamaa wanadidimiza wachezaji wazawa kabisaa.
Hata mkisema mi mbaguzi Sawa tu.
View attachment 2617127
Yaan wewe ni ndezi Sana. Nani kakwambia yanga inaandaa wachezaji wake Kwa ajili ya taifa star.Nawashangaa Sana mnaoshabikia Yanga na watz Kwa ujumla. Hawa majamaa wanadidimiza wachezaji wazawa kabisaa.
Hata mkisema mi mbaguzi Sawa tu.
View attachment 2617127