papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,156
- 1,667
MooSawa
Tutamwajili Nani timu ya Taifa ili ashughulikie hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MooSawa
Tutamwajili Nani timu ya Taifa ili ashughulikie hilo
Mimi kama Mtanzania nasema hivi "tuanzie mechi ya jana (Yanga vs Marumo Gallants)" Wazawa waliocheza ni hawa wafuatao; Kibwana Shomari, Dickson Nikcson Job, Ibrahim Bacca, Bakari Nondo, Salum Abubakar, Mudahir Yahaya na Clement Mzize,Jumla yao ni 7. Je, mpaka hapo bado una hoja? Huenda ukawa una wenge fulani Ndugu, pole sana!Nawashangaa Sana mnaoshabikia Yanga na watz Kwa ujumla. Hawa majamaa wanadidimiza wachezaji wazawa kabisaa.
Hata mkisema mi mbaguzi Sawa tu.
View attachment 2617127
Asante Kwa kumnyoosha huyo TomassoMimi kama Mtanzania nasema hivi "tuanzie mechi ya jana (Yanga vs Marumo Gallants)" Wazawa waliocheza ni hawa wafuatao; Kibwana Shomari, Dickson Nikcson Job, Ibrahim Bacca, Bakari Nondo, Salum Abubakar, Mudahir Yahaya na Clement Mzize,Jumla yao ni 7. Je, mpaka hapo bado una hoja? Huenda ukawa una wenge fulani Ndugu, pole sana!