Lennovo core i5
Member
- Dec 4, 2019
- 59
- 101
Huo ndo ukwel, tunaabudu kingereza, Ndalichako ni professional wa hisabati, sasa hapa kuna mtu anakomalia ndalichako ajue kingereza. Tuache utumwaok mfano mtu achukue phd ya kilimo kwa kutumia lugha ya kiswahili tunategemea hajui kiswahili kabisa mtu ametunga kitabu kwa kiswahili fasaha kikakubalika na maprofesa kwa nondo alizoandika kwa kiswahili cha kuandika makala za kisomi nakufundisha wanafunzi wa masters kwa kiswahili.maana hapa unahamishia kuwa tunaabudu kiingereza
Hivi kwani unampima mtu elimu kwa kuongea kiingereza?Tena kasoma Canada with first class, Kuna shida mahala, ndo maana hazipendi English medium
Kwa hiyo mkuu asiyejua kingereza maanayake yeye ni kilaza? Kwa hiyo ukijua kuongea na kuandika kingereza tu unakuwa mwerevu kuliko woteUprofesa wa bongo ni kukaa chuoni miaka mingi kuzidi wengine...sio uelewa au kujua mambo....kwahiyo undergraduate ulie field uko vizuri kuliko hao wakaa chuoni....ndio maana field maprof wanachemka
Kwani uelewa unapimwa kwa kujua kiingereza? Inaonekana wewe hujaelimika bado sana!Uprofesa wa bongo ni kukaa chuoni miaka mingi kuzidi wengine...sio uelewa au kujua mambo....kwahiyo undergraduate ulie field uko vizuri kuliko hao wakaa chuoni....ndio maana field maprof wanachemka
Ok mkuu hebu tulitizame hili jambo kwa upande wa pili,hivi kama angekuwa haelewi lugha anayofundishiwa ingewezekana vp kufika hadi hapo alipofika kielimu?Naomba niseme kitu, huwa kuna vitu siku hizi naamua kujitoa akili ili katika hili ngoja nikwambie kitu fulani..
Kama umesoma toka shule ya sekondari mpaka Chuo kikuu ukapata degree, ukasoma masters degree, ukasoma PHD na mwisho ukawa Profesa.. Huko kote Lugha ya kufundishia ni KiEnglish ambayo wewe huijui kiufasaha, swali, UNAWEZAJE KUUTHIBITISHIA UMMA KAMA WEWE UNAKIJUA IPASAVYO ULICHOSOMEA WAKATI LUGHA ULIYOITUMIA KUSOMEA HUIJUI?, UNAWEZA KUELEWA ULICHOFUNDISHWA WAKATI LUGHA INAYOTUMIKA KUKUFUNDISHIA HUIJUI? Elimu ya juu kwa kiasi kikubwa inahusisha presentation ambazo hufanyika kwa KiEnglish, sasa kama huwezi hiyo Lugha unawezaje kusimama masaa mawili ukatetea projects zako na kuonyesha umahili ili waone kweli unastahili?
Ukitafakari sana utagundua ni kwanini Wataalamu wa kitanzania hawana tija, inawezekana huwa watu wengi tunakalili tu huko mashuleni na kufaulu mitihani lakini tulikuwa hatuelewi vinavyofundishwa..
Tufanye kimoja katika hivi kwa manufaa ya vizazi vyetu..
1. Tuache kabisa kutumia kiingereza kama lugha ya kufundishia, watu wasome kwa kiswahili mpaka vyuo vikuu.
2. Tuamue kutumia Kiingereza kama lugha rasmi kuanzia msingi mpaka vyuo vikuu na mkazo uwekwe.
Tuache janja janja tuliokoe Taifa kwenye suala zima la Elimu ili tuhakikishe tunatoa wataalamu competent na sio wasanii wanaowaza kuwa wanasiasa, Ni elimu pekee itakayookoa taifa hili kama kweli mkazo utawekwa kwa manufaa ya Tanzania na watanzania.
Ahaaaa haaaaaa haaaaAdvance payment nani hii milioni mia moja hamsini,You are going to stay on the cell until you provide full explanation of money , because now you can not playing the government like this .Last time I came here you had here the equipment like enough to dodoma, you drop the equipment and then you have taken the equipment to another site.So you are going to stay inside until you give full instruction for the equipment that you have taken to dodoma.To come back here make sure that you have you are sufficient......................................
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok mkuu hebu tulitizame hili jambo kwa upande wa pili,hivi kama angekuwa haelewi lugha anayofundishiwa ingewezekana vp kufika hadi hapo alipofika kielimu?
Ukiwa unasoma science ndio ruksa kuongea lugha vibaya? Hzo research alikuwa anaandaaje report? Nakukumbusha tu maprof ma PhD Wachina, Warusi nk wanaongea lugha zao why asiongee kiswahili #ukishaingia kile chama akili unakabidhi kwa M/kiti refer Prof wa JalalaniWakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.
I see no problem there.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwa kiwango cha elimu alichonacho, chukulia ndio ameenda kuiwakilisha nchi kwa mabeberu huko halafu aongee hvyo na huku kajitambulisha ni ProfMleta mada anadai kiingereza cha huyo professor ni kibovu au sub standard, mimi ndio nasema kwamba licha ya huo ubovu bado kajitahidi ukizingatia misingi yetu ya kitanzania ni mibovu kwenye kiingereza ni tofauti na kenya kwa mfano ambapo na wao kiswahili ni wabovu kwa sababu ya misingi mibovu ya Kiswahili.
Ahaaa!! You are going to stay on the cell!!Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.
View attachment 1315270
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwa kiwango cha elimu alichonacho, chukulia ndio ameenda kuiwakilisha nchi kwa mabeberu huko halafu aongee hvyo na huku kajitambulisha ni Prof
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo gani sio ya msingi? huyu ni Prof si muuza nyanya Tandika akienda kwa mabeberu kutuwakilisha halafu lugha yenyewe anaongea hv unafikiri itakuwaje?Mimi pia sioni tatizo maan Yeye sio Prof wa English Language. Aongee fluent kwani yeye ni mwingereza? Tuache upuuzi kubezana mambo yasiyo na msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Kweli Kabisa hapo hakuna Uniformity...Hilo neno "and" kwanini lisiwepo?
Kwa kutumia kanuni gani?
Btw zote zipo correct yenye "and" na isiyo na "and".
Ukibisha nipe muda wako turudi darasani.
Tena kasoma Canada with first class, Kuna shida mahala, ndo maana hazipendi English medium