Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

ok mfano mtu achukue phd ya kilimo kwa kutumia lugha ya kiswahili tunategemea hajui kiswahili kabisa mtu ametunga kitabu kwa kiswahili fasaha kikakubalika na maprofesa kwa nondo alizoandika kwa kiswahili cha kuandika makala za kisomi nakufundisha wanafunzi wa masters kwa kiswahili.maana hapa unahamishia kuwa tunaabudu kiingereza
Huo ndo ukwel, tunaabudu kingereza, Ndalichako ni professional wa hisabati, sasa hapa kuna mtu anakomalia ndalichako ajue kingereza. Tuache utumwa
 
Uprofesa wa bongo ni kukaa chuoni miaka mingi kuzidi wengine...sio uelewa au kujua mambo....kwahiyo undergraduate ulie field uko vizuri kuliko hao wakaa chuoni....ndio maana field maprof wanachemka
Kwa hiyo mkuu asiyejua kingereza maanayake yeye ni kilaza? Kwa hiyo ukijua kuongea na kuandika kingereza tu unakuwa mwerevu kuliko wote
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Uprofesa wa bongo ni kukaa chuoni miaka mingi kuzidi wengine...sio uelewa au kujua mambo....kwahiyo undergraduate ulie field uko vizuri kuliko hao wakaa chuoni....ndio maana field maprof wanachemka
Kwani uelewa unapimwa kwa kujua kiingereza? Inaonekana wewe hujaelimika bado sana!
 
Naomba niseme kitu, huwa kuna vitu siku hizi naamua kujitoa akili ili katika hili ngoja nikwambie kitu fulani..

Kama umesoma toka shule ya sekondari mpaka Chuo kikuu ukapata degree, ukasoma masters degree, ukasoma PHD na mwisho ukawa Profesa.. Huko kote Lugha ya kufundishia ni KiEnglish ambayo wewe huijui kiufasaha, swali, UNAWEZAJE KUUTHIBITISHIA UMMA KAMA WEWE UNAKIJUA IPASAVYO ULICHOSOMEA WAKATI LUGHA ULIYOITUMIA KUSOMEA HUIJUI?, UNAWEZA KUELEWA ULICHOFUNDISHWA WAKATI LUGHA INAYOTUMIKA KUKUFUNDISHIA HUIJUI? Elimu ya juu kwa kiasi kikubwa inahusisha presentation ambazo hufanyika kwa KiEnglish, sasa kama huwezi hiyo Lugha unawezaje kusimama masaa mawili ukatetea projects zako na kuonyesha umahili ili waone kweli unastahili?

Ukitafakari sana utagundua ni kwanini Wataalamu wa kitanzania hawana tija, inawezekana huwa watu wengi tunakalili tu huko mashuleni na kufaulu mitihani lakini tulikuwa hatuelewi vinavyofundishwa..

Tufanye kimoja katika hivi kwa manufaa ya vizazi vyetu..
1. Tuache kabisa kutumia kiingereza kama lugha ya kufundishia, watu wasome kwa kiswahili mpaka vyuo vikuu.
2. Tuamue kutumia Kiingereza kama lugha rasmi kuanzia msingi mpaka vyuo vikuu na mkazo uwekwe.

Tuache janja janja tuliokoe Taifa kwenye suala zima la Elimu ili tuhakikishe tunatoa wataalamu competent na sio wasanii wanaowaza kuwa wanasiasa, Ni elimu pekee itakayookoa taifa hili kama kweli mkazo utawekwa kwa manufaa ya Tanzania na watanzania.
Ok mkuu hebu tulitizame hili jambo kwa upande wa pili,hivi kama angekuwa haelewi lugha anayofundishiwa ingewezekana vp kufika hadi hapo alipofika kielimu?
 
Advance payment nani hii milioni mia moja hamsini,You are going to stay on the cell until you provide full explanation of money , because now you can not playing the government like this .Last time I came here you had here the equipment like enough to dodoma, you drop the equipment and then you have taken the equipment to another site.So you are going to stay inside until you give full instruction for the equipment that you have taken to dodoma.To come back here make sure that you have you are sufficient......................................

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaa haaaaaa haaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa huu si utetezi wa alichokifanya, bali nawaza tu. Kwani PHD yake inahusiana na mambo ya lugha? Tunampimaje kuunganisha PHD na ufasaha wa lugha ya kigeni?

By the way, kumasta lugha fulani lazima uweke bidii fulani na pia uwe unazungumza. Otherwise utakua na ze, ze nyingi na viunganishi visivyo eleweka.
 
Ok mkuu hebu tulitizame hili jambo kwa upande wa pili,hivi kama angekuwa haelewi lugha anayofundishiwa ingewezekana vp kufika hadi hapo alipofika kielimu?

Hapo ndio mashaka yanapoanzia mkuu.
 
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa unasoma science ndio ruksa kuongea lugha vibaya? Hzo research alikuwa anaandaaje report? Nakukumbusha tu maprof ma PhD Wachina, Warusi nk wanaongea lugha zao why asiongee kiswahili #ukishaingia kile chama akili unakabidhi kwa M/kiti refer Prof wa Jalalani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada anadai kiingereza cha huyo professor ni kibovu au sub standard, mimi ndio nasema kwamba licha ya huo ubovu bado kajitahidi ukizingatia misingi yetu ya kitanzania ni mibovu kwenye kiingereza ni tofauti na kenya kwa mfano ambapo na wao kiswahili ni wabovu kwa sababu ya misingi mibovu ya Kiswahili.
Si kwa kiwango cha elimu alichonacho, chukulia ndio ameenda kuiwakilisha nchi kwa mabeberu huko halafu aongee hvyo na huku kajitambulisha ni Prof

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee what can I say on this?We pay milioni mia moja shillings??Jamani.Lakini wanasema cha kuongea na kuandika Ni Tofauti.Ile najuw Atatuprove Wrong atakuja na Kiingereza kingine alichosome Canada with first class.
Tena kasoma Canada with first class, Kuna shida mahala, ndo maana hazipendi English medium

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom