Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Akitoa maagizo ya kukamatwa muhandisi mchina
View attachment 1315270
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani alikuwa ana hasira hata helmet kaivaa mbele nyuma na nyuma mbele.
Huyu mbona kasoma Canada, alighafirika tu, hatamie ukiniboa huwa nafoka kisukuma nachanganya na kiitaliano siunajua kazi za barabara zimetuathiriMbona kajitahidi sana kuongea kizungu, tatizo ni mifumo yetu ya elimu ni mibovu, watoto tunapokuwa nyumbani ni kiswahili kwa kwenda mbele, tukifika shuleni (sekondari) ni kiswahili kwenda mbele tukiingia darasani ni Kiswanglish (kiswakinge) kwa kwenda mbereee, sasa ni lini tunaweza kuwa good at English??!🤣
Unawatafutia balaa, wataanza kuwekewa mabango ya Speak English kwenye mageti ya chuoOne hundred and fifty million TZS.Kilikuja na meli. Pale Udsm mwalimu anaongea Kinge akiwa darasani tu. Mkitoka nje ni kiswahili mpaka nyumbani. Mtu Kinge anaongea asilimia 3 ,Kiswahili asilimia 97.
Nimerudia mara kumi cjaelewa huyu si kasoma mpaka PhD kwa kiingereza hiki ni kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mbona kasoma canada, alighafirika tu, hatamie ukiniboa huwa nafoka kisukuma nachanganya na kiitaliano siunajua kazi za barabara zimetuathiri
Kila sehemu.safety ya nywele au kichwa ?