Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Mbona kajitahidi sana kuongea kizungu, tatizo ni mifumo yetu ya elimu ni mibovu, watoto tunapokuwa nyumbani ni kiswahili kwa kwenda mbele, tukifika shuleni (sekondari) ni kiswahili kwa kwenda mbele tukiingia darasani ni Kiswanglish (kiswakinge) kwa kwenda mbereee, sasa ni lini tunaweza kuwa good at English??!🤣
Mifumo ya ufundishaji kiingereza ni mibovu duniani kote si kwetu tu.
 
Awamu ya Tano inapiga kazi balaa, mama Prop yuko site anatimiza kauli mbiu ya Hapa kazi tu, soon Tanzania itaanza kutoa misaada kwa mataifa masikini, Mama Profesa Mtaalamu anapiga ung'eng'e balaa mpaka huyo mchina anashangaa shangaa hiyo English ya ndani kabisa pale London na kama hujakaa UK huwezi kuelewa kabisa, HIVI HUYU MAMA NI PROFESA NA NI WAZIRI WA ELIMU..?? haya twendeni tu..

Uchumi unakua kwa 7% watanzania wanafurahia maisha mitaan. machinga, mamantilie hawasumbuliwi tena.. Pato la Mtanzania limekua na linazidi kukua kwa kasi..
Hahaha hahaha uwiiii
 
Mleta mada anadai kiingereza cha huyo professor ni kibovu au sub standard, mimi ndio nasema kwamba licha ya huo ubovu bado kajitahidi ukizingatia misingi yetu ya kitanzania ni mibovu kwenye kiingereza ni tofauti na kenya kwa mfano ambapo na wao kiswahili ni wabovu kwa sababu ya misingi mibovu ya Kiswahili.
Mkuu unajua phd inachukuliwaje .aliwezaje kuandika kitabu akashawish maprofesa nguli waone ,anafaa kupata phd kwa kiingereza cha utani .hata graduate wa degree hawezi kusema et find CERTIFICATE PEOPLE
 
Mifumo ya ufundishaji kiingereza ni mibovu duniani kote si kwetu tu.

Kujifunza lugha kwa urahisi ni kwanza kuizungumza hiyo lugha, sisi Watz, nyerere alituharibu, yeye alikuwa anajua kiingereza na hakutaka watz wengi tujue kiingereza kwa sababu Kiingereza kilibeba elimu nyingi hivyo tungeerevuka, kwani kumtawala mjinga ni rahisi kuliko mwerevu lakini kumuongoza mwerevu ni rahisi kuliko mjinga, alijua hilo.

Hayo ni maoni yangu, niko huru kusahihishwa.
 
Mkuu unajua phd inachukuliwaje .aliwezaje kuandika kitabu akashawish maprofesa nguli waone ,anafaa kupata phd kwa kiingereza cha utani .hata graduate wa degree hawezi kusema et find CERTIFICATE PEOPLE


Myself, my written English is fantastic but when it comes to spoken English it is horrible. 🤣🤣

A written English is subjected to corrections when it deems so but is not so for spoken English.
 
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
nyie wa st joseph mna mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndalichako ana kakiingereza kakavu sana!

Hiyo aina ya Kiingereza anaongea mtoto wa form two anayejifunza sarufi.

If a PhD holder's linguistic competence is equivalent to that of a form two student, then you know how bigger the problem really is.

Nimekutana na maprofesa na wakufunzi wengi na wazuri mno wenye umahiri mkubwa wa lugha zote mbili humu humu Tanzania.

Hivyo, sidhani kama ni tatizo la "mfumo" wa elimu [entirely].

Huyu mama ni kilaza tu katika personal capacity yake mwenyewe (na ni waziri wa elimu?).



Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutana na maprof. wengi wenye uwezo mzuri wa kumudu lugja walizosomea masomo yao. Wengine wamesomea Ujerumani, wanaongea Kiingereza safi, Kijerumani Kizuri na Kiswahili sanifu.

Kushindwa kumudu kitu ulichojifunza na kufundishwa kwa miaka mingi, ni uthibitisho kuwa you are not trainable. Being not trainable is one of the indicators of low IQ.
 
Mkuu unajua phd inachukuliwaje .aliwezaje kuandika kitabu akashawish maprofesa nguli waone ,anafaa kupata phd kwa kiingereza cha utani .hata graduate wa degree hawezi kusema et find CERTIFICATE PEOPLE
Aliandikiwaaaa, Tanzania kila kitu kinawezekana, kama tunaweza kubaini wanaotarajia kujinyonga tutashindwaje kuandika mavitabu kuwashawishi maprofessor?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom