Huyu ndalichako ana kakiingereza kakavu sana!
Hiyo aina ya Kiingereza anaongea mtoto wa form two anayejifunza sarufi.
If a PhD holder's linguistic competence is equivalent to that of a form two student, then you know how bigger the problem really is.
Nimekutana na maprofesa na wakufunzi wengi na wazuri mno wenye umahiri mkubwa wa lugha zote mbili humu humu Tanzania.
Hivyo, sidhani kama ni tatizo la "mfumo" wa elimu [entirely].
Huyu mama ni kilaza tu katika personal capacity yake mwenyewe (na ni waziri wa elimu?).
Sent using
Jamii Forums mobile app