Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Then possibly you are on the same level or bellow her level in English proficiency that is why you couldn't and you wont see any problem in what she said grammatically.
but based on her level of education that wasn't proper English
 
Tangu tupate viongozi wa kisiasa wasipjua Kiingereza kutomuda lugha hiyo lumepata watetezi wengi kweli kweli.


Toa mifano hai minne tu ya hao watetezi wasiojua kiingereza!!
 
Hapo kuna tatizo gani madam?Ninavyofahamu kitaalamu tunavyozungumzia pesa maneno hundred,thousand,na million hayabebi wingi.Naomba kueleweshwa zaidi
One hundred and fifty million TZS.Kilikuja na meli. Pale Udsm mwalimu anaongea Kinge akiwa darasani tu. Mkitoka nje ni kiswahili mpaka nyumbani. Mtu Kinge anaongea asilimia 3 ,Kiswahili asilimia 97.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna tatizo gani madam?Ninavyofahamu kitaalamu tunavyozungumzia pesa maneno hundred,thousand,na million hayabebi wingi.Naomba kueleweshwa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi yeye kaongea kingereza halafu amount akataja kiswahili. Mimi ndo nimeitafasiri kwenda kingereza.Prof alisahau kusema million 150 kwa kingereza ?
 
Mungu ameamua kumuumbua makusudi huyu mama alijikweza Sana Sasa ameshushwa na hatathubutu kujimwambafai mbele ya wanafunzi wa English medium wanaokipiga kingenge vizuri // mama waziri umeumbukaaaaaaaaaaaaaa hujui kingerezaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hizi ni sentensi mbili zenye maana moja
1.hey my fellow bagamoyo villagers you have done me good things i will not forget.
2.I feel indebted by the cooperation of bagamoyo residents

Prof tulitarajia hiyo sentensi ya pili .mpoki hiyo ya kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu tuambieni makosa mliyoyaona maana nashangaa mnasema kingereza cha prof tatizo mmeliona wapi matamshi, sentensi, maneno au wapi maana watu wanashadadia tu pasipo kusema kakosea wapi

Kumbukeni mama kingereza inaweza kuwa lugha yake ya tatu jifunza, ya kwanza kwa umri wake inaweza kuwa kiha, akaja kiswahili kisha akaja kingereza kwaiyo msitegemee mama akawa na matamshi mazuri kama mzungu

Kiukweli sijaona tatizo katika kingereza chake maana sentensi zake zinaeleweka, misamiati yake ina eleweka, sema tu sio mahiri yani hana ile floo ambayo wengi mlitaka muione
 
Nimekutana na maprof. wengi wenye uwezo mzuri wa kumudu lugja walizosomea masomo yao. Wengine wamesomea Ujerumani, wanaongea Kiingereza safi, Kijerumani Kizuri na Kiswahili sanifu.

Kushindwa kumudu kitu ulichojifunza na kufundishwa kwa miaka mingi, ni uthibitisho kuwa you are not trainable. Being not trainable is one of the indicators of low IQ.

Mfano mzuri marehemu Ali Mufuruki: alisomea Ujerumani na alikuwa akiongea kiingereza kizuri sana!
 
Back
Top Bottom