Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Kama hujui hiyo lugha hata ukiambiwa hayo makosa itakusaidia nini? Makosa lukuki!
Wewe ndio ujui ndio maana mama unamshangaa ungekuwa unajua usingemshangaa kisa mama hana Fluency basi mnamdandia ona ona acheni unafiki na kushadadia vitu msivyovijua sidhani mtaalamu wa lugha kama anaweza sema mama kazingua hata kama mama ni prof je ukiuulizwa kakosea nini utasema hana Fluency na ndio wengi mnachoangalia hapo nakumuona mama wa ajabu mama siyo native speaker mnataka aongee vipi sasa acheni ushamba wenu
 
Hizi ni sentensi mbili zenye maana moja
1.hey my fellow bagamoyo villagers you have done me good things i will not forget.
2.I feel indebted by the cooperation of bagamoyo residents

Prof tulitarajia hiyo sentensi ya pili .mpoki hiyo ya kwanza
[emoji419]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ni profesa wa kiingereza? Nauliza tu, kwani mtu hawezi kuwa profesa lets say wa mifupa bila kuja kiingereza kwa ufasaha?
 
Tanzania hii anayeongea English fluent ni B.W.Mkapa tu wengine tunahororoja!
 
Ukiweka "and" hapo utakuwa unatafsiri ile "na" ya kiswahili kwenda kiingereza.

Unapoandika 150,000,000 in english, unaruhusiwa kuandika "and" kama hujui kiingereza.[emoji1787]
Unapomalizia na hiyo emoji mwisho unamaanisha nini Mokaze?
Kwamba nisichukulie serious ulichoandika au vipi?
 
Amuongelee nani? Hiyo lugha haiwezi ndio maana wanajifanya wazalendo wa kiswahili kumbe majanga matupu.
Waiweze kwanini? Ishu kubwa ya Lugha ni communication tu. Mambo ya ufluent ni kitu kingine
 
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kutetea upimbi wewe!! Lugha uliyosomea na kuandikia mpaka ukapata uprof leo inakushindaje mwana zuoni na waziri wa elimu?!? Walimu waongee nini sasa?? Huwa wanasema shule za kata mtoto wa form four anashindwa kiinglishi cha latatu Leo tumeona profeza anashindwa kingleza cha lakwanza... You wiki steyi inisaidi ndonini?? Oni the seli?? The the zakutosha bwahahahhhaaaa.... ndomana hawataki kuifanyia mageuzi elimu yetu!!
 
Unapomalizia na hiyo emoji mwisho unamaanisha nini Mokaze?
Kwamba nisichukulie serious ulichoandika au vipi?



Hapana, sina maana hiyo, maana yangu elimu ni furaha tu wala sio uadui. Ndiyo maana mimi ni mtu wa furaha tu,🤣🤣
 
Ni ngumu kuelekezana na mtu ambaye hajastaaribika kama wewe.
Lengo la lugha ni nini? Nadhani unaifahamu ni kukamilisha mchakato wa Mawasiliano.
U fluent in English unamsaidia nini Prof. Wa Mathematics ?
Engineer u fluent in English unamsaidia nini ?

Acha kujaza matope kichwani mwako.

Mtu mmoja huna chochote wala lolote unajifanya nyuma ya keyboard na unaeza kuta kiingereza hicho pia hujui.

Hakuna haja ya kukosoana kwa lugha zilizokuja na meli.

She is reasonably right !
Wacha kutetea upimbi wewe!! Lugha uliyosomea na kuandikia mpaka ukapata uprof leo inakushindaje mwana zuoni na waziri wa elimu?!? Walimu waongee nini sasa?? Huwa wanasema shule za kata mtoto wa form four anashindwa kiinglishi cha latatu Leo tumeona profeza anashindwa kingleza cha lakwanza... You wiki steyi inisaidi ndonini?? Oni the seli?? The the zakutosha bwahahahhhaaaa.... ndomana hawataki kuifanyia mageuzi elimu yetu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa sio umetetea bali umeongeza kichekesho.
Sipo hapa kutetea bali naeleza nachokijua,mtu ana Phd halafu et uje kutilia mashaka phd yake kisa hamudu kuzungumza vizuri kiingereza! Hii ni kwa sababu mnashindwa kuelewa kwanini wanashindwa kuongea vizuri kiingereza ndio matokeo yake mnaenda kuhusisha na Phd zao.

Mnashindwa kutofautisha kati ya kutokujua kiingereza na kushindwa kuongea vizuri kiingereza ndiyo maana mnashangaa mwenye Phd kutokumudu kuongea vizuri kiingereza.
 
Tanzania ni nchi pekee ambapo waziri wa elimu hana elimu.

Yale yale ya intaprinyuwa!

Ze dota of ze cow and ze water!

Na ana ujasiri wa kuwaita wenzake vilaza, tena hadharani!

Duh! Najiuliza tu alikuwa anafundishaje hapo udsm - the "cream of the nation". Heheheee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom