Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Ananitesa jamani hadi machozi yananilenga hapa.Blaza huyu Paula nikama unamzungukia kwa mbali sana etii....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ananitesa jamani hadi machozi yananilenga hapa.Blaza huyu Paula nikama unamzungukia kwa mbali sana etii....
Ikianza interview hapa kila MTU dak 3 ,nadhani simu nyingi zitaishiwa MB muda huu huu.Waingeleza wa Tz mshaanza maneno yenu.
Ha ha ha ha we never be fluent in EnglishOne hundred and fifty million TZS.Kilikuja na meli. Pale Udsm mwalimu anaongea Kinge akiwa darasani tu. Mkitoka nje ni kiswahili mpaka nyumbani. Mtu Kinge anaongea asilimia 3 ,Kiswahili asilimia 97.
Mokaze kwenye hii namba uliyoniandikia unaanza kutenga kwa mafungu na kabla ya fungu la mwisho ndio unaunganisha na "and". Hii namba na ya 150M ni vitu viwili tofauti.
Nimesema UK style hamna makosa kutumia and na comma pia. Ila US pia sio makosa, bali utasha mwingi. Na kumbuka mashuleni UK style ndio inatumika ( kama sijakosea).
Kwa kuongezea ni kwamba tunatumia and kabla ya kutaja value ya mwisho.Mbona in Uk style katika 212, hapo hukuandika two hundred and twelve--, hiyo "and" hapo mbona umeiacha?? Kwa nini?? Kumbuka ile I50,000,000, ulisema in Uk style and inawekwa kwenye 150.
Sipendi hako ka emoji kwenye mambo ya msingi.Back to school, thank you,[emoji1787]
Kwa kuongezea ni kwamba tunatumia and kabla ya kutaja value ya mwisho.
150 = ni haki kusema One hundred and fifty. Na US wanaondoa And wanasema 'one hundred fifty'. Kwenye ile namba uliyoniandikia value ya mwisho ni 212 kwahiyo kabla ya 212 naweka and.
Sipendi hako ka emoji kwenye mambo ya msingi.
Okay thank you for your time.
Lol, si kweli.Wewe ni bank teller [emoji1787][emoji1787]
Haya umeelewa lakini?Elimu ni furaha, ukiwa huna furaha hakuna kitu kitaingia kichwani. Hiyo falsafa na moja ya miundo mbinu ya elimu. [emoji85]
Lol, si kweli.
Unajua 'Actuarial Science'? Nina shahada ya hii kitu
Yes ipo.Financing ipo katika hiyo science? ?
The science of gambling on the future (to access risk of potential event) Tunatumia mathematics, statistics, economics and financial theory .Please, hiyo ni sayansi ya nini hasa??
Course yenye hesabu nyingi sanaLol, si kweli.
Unajua 'Actuarial Science'? Nina shahada ya hii kitu
Hesabu kweli ni za kutosha.Course yenye hesabu nyingi sana
Hatari kweli kweli
Wasalimie huko insurance na social security firms
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.
I see no problem there.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa.Awamu ya Tano inapiga kazi balaa, mama Prop yuko site anatimiza kauli mbiu ya Hapa kazi tu, soon Tanzania itaanza kutoa misaada kwa mataifa masikini, Mama Profesa Mtaalamu anapiga ung'eng'e balaa mpaka huyo mchina anashangaa shangaa hiyo English ya ndani kabisa pale London na kama hujakaa UK huwezi kuelewa kabisa, HIVI HUYU MAMA NI PROFESA NA NI WAZIRI WA ELIMU..?? haya twendeni tu..
Uchumi unakua kwa 7% watanzania wanafurahia maisha mitaan. machinga, mamantilie hawasumbuliwi tena.. Pato la Mtanzania limekua na linazidi kukua kwa kasi..