Mimi pia sioni tatizo maan Yeye sio Prof wa English Language. Aongee fluent kwani yeye ni mwingereza? Tuache upuuzi kubezana mambo yasiyo na msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
kwamba mlitaka aongee kama anakunywa maji, sema lafudhi zetu za makabila zinafanya kiingereza kutoteleza kwenye ulimi. sijaona shida sana hapo
Amuongelee nani? Hiyo lugha haiwezi ndio maana wanajifanya wazalendo wa kiswahili kumbe majanga matupu.
Kuna ajabu gani hapo sasa? Wabongo kwakujishongondoa tu hatujambo, utasikia mtu anamsifia mzungu anaeboronga kiswahili huku akimcheka mbongo mwenzie abaeboronga kiingereza, amaa kweli utumwa bado tunao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa lake lipo wapi naona kila mtu anashadadia ebu tuambieni wapi kakosea
Hahaaa sina nia ovu mkuu,Wacha janja janja, ni mke wa mtu huyu.
KwendaaaaMnao mshangaaa huyu mama wengi ni HKL HGL KLF na art nyingine kwa wale wanangu wa PCM PGM PCB mtu kutokuflow english sio shida kabisa na ndo tabia ya watu wanaojua mambo hata angeongea kiswahili bado angehangaika tu ila inapokuja swala na fani yake mbona mtaonyeshwa makali tu sayansi oyee
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda umestaarabika kwenye ujinga... Waziri wa elimu anapaswa kuonesha mfano na kujipambanua anapoongea,akialikwa kutoa mhadhara kimataifa ndio ataongea hivyo? Watu watamzingatia? Nchi hii elimu ni kwa kiingereza iwapo umesoma unapaswa kukijua vyema kuandika na kukiongea ustuletee janjajanja
I doubt na argue na mtu ambaye mkondo wake wa kufikiri haupo sawasawa, kuwa waziri wa elimu na kiingereza kuna uhusiano gani?
Kutimiza majukumu yake kama waziri na kiingereza kuna uhusiano gani?
Kama ni kikao popote pale anaweza akazungumza hata kiswahili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama ni mpuuzi sana. Alikuwa anajishongondoa mno na kujiona yeye ndio mwanataaluma bora kuliko yeyote nchini.Huyu si ndiye alisema anataka kuwatahini upya watumishi wa Elimu kwakuwa viwango vyao vya elimu vinampa mashaka.
Uenda alitaka kuwatahini kwa kiswahili, sio kwa kiingereza lakini ni aibu kubwa waziri wa elimu hata simple sentence unashindwa duh hi nchi kuna uchawiHuyu si ndiye alisema anataka kuwatahini upya watumishi wa Elimu kwakuwa viwango vyao vya elimu vinampa mashaka.
Nimefuta kauli yangu mkuu ili yasije nikutausiyaamshe ya bensaanane hapaa ohooo
Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.
View attachment 1315270
KWA WASIOSIKIA VIZURI AMESEMA
‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’
CURRICULUM VITAE
Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]
Career[edit]
- From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
- From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]
Kiingereza si lugha yetu
KIINGEREZA SI LUGHA YETU __________________ Kumbukumbu zinanirudisha zaidi ya miaka 10 nyuma tukiwa kwenye vimbweta vya Tegeta High school na wanangu Mdax, DVd pamoja na kizazi tukikata topic ya colonialism in Africa. Tayari tumeishakula mihogo yetu ya kukaanga na kachumbari nyingi yenye...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umeongea kama vile wanifahamu, fanya kuweka wazi mimi ni nani na elimu yangu iko vp? sina uhakika ila naamini naweza kukuzidi vingi labda unizidi tambo za mtandaoniHahaahaha eti na wewe ulitaka kuliona tatizo ?????!!!. Sasa wewe na yeye mnatofauti? Ok kwakukusaidia wadau hawazungumzii lafudhi hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndiyo maana kale kazee sijawahi kukapenda.Kujifunza lugha kwa urahisi ni kwanza kuizungumza hiyo lugha, sisi Watz, nyerere alituharibu, yeye alikuwa anajua kiingereza na hakutaka watz wengi tujue kiingereza kwa sababu Kiingereza kilibeba elimu nyingi hivyo tungeerevuka, kwani kumtawala mjinga ni rahisi kuliko mwerevu lakini kumuongoza mwerevu ni rahisi kuliko mjinga, alijua hilo.
Hayo ni maoni yangu, niko huru kusahihishwa.
Unasoma canada miaka mitatu alafu hujui english? Tuache ujinga.Kwani kiingereza ndio nini mkuu?
China kuna maprofessor hawajui english,Russia,Japan n.k
Angalia kazi sio lugha