Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hahaahaha eti na wewe ulitaka kuliona tatizo ?????!!!. Sasa wewe na yeye mnatofauti? Ok kwakukusaidia wadau hawazungumzii lafudhi hapo.
kwamba mlitaka aongee kama anakunywa maji, sema lafudhi zetu za makabila zinafanya kiingereza kutoteleza kwenye ulimi. sijaona shida sana hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu si ndiye alisema anataka kuwatahini upya watumishi wa Elimu kwakuwa viwango vyao vya elimu vinampa mashaka.
 
Mkuu wapi umewahi ona Mzungu anasoma mpaka PhD kwa kiswahili na hakijui kiswahili? Kumbuka hao vilaza walisoma kwa kiingereza hizo PhD zao. Toka nje ya box siyo unabwabwaja tu kama mwana fisiemu.
Kuna ajabu gani hapo sasa? Wabongo kwakujishongondoa tu hatujambo, utasikia mtu anamsifia mzungu anaeboronga kiswahili huku akimcheka mbongo mwenzie abaeboronga kiingereza, amaa kweli utumwa bado tunao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnao mshangaaa huyu mama wengi ni HKL HGL KLF na art nyingine kwa wale wanangu wa PCM PGM PCB mtu kutokuflow english sio shida kabisa na ndo tabia ya watu wanaojua mambo hata angeongea kiswahili bado angehangaika tu ila inapokuja swala na fani yake mbona mtaonyeshwa makali tu sayansi oyee

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwendaaaa
Sayansi hatusomi vilaza kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umempa za uso, nchi hii tunasoma kwa kiingereza hivyo kama msomi lazima ujue kiingereza. Kuna wapuuzi wanauliza eti mzungu akikosea kiswahili mbona hatumcheki, swali kwani wazungu wanasoma kwa kiswahili mpaka nao wakijue kiswahili !!!
Labda umestaarabika kwenye ujinga... Waziri wa elimu anapaswa kuonesha mfano na kujipambanua anapoongea,akialikwa kutoa mhadhara kimataifa ndio ataongea hivyo? Watu watamzingatia? Nchi hii elimu ni kwa kiingereza iwapo umesoma unapaswa kukijua vyema kuandika na kukiongea ustuletee janjajanja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujanja janja, PhD kwa kiingereza alafu kikushinde na bado ujione uko sawa? Nina wasiwasi na ubongo wako. Ukitetea ujinga jua na wewe una ujinga kichwani
I doubt na argue na mtu ambaye mkondo wake wa kufikiri haupo sawasawa, kuwa waziri wa elimu na kiingereza kuna uhusiano gani?
Kutimiza majukumu yake kama waziri na kiingereza kuna uhusiano gani?
Kama ni kikao popote pale anaweza akazungumza hata kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu si ndiye alisema anataka kuwatahini upya watumishi wa Elimu kwakuwa viwango vyao vya elimu vinampa mashaka.
Huyu mama ni mpuuzi sana. Alikuwa anajishongondoa mno na kujiona yeye ndio mwanataaluma bora kuliko yeyote nchini.

Mikogo kibao kumbe ziro mbumbumbu tupu.

Alishawahi kuwa mwalimu wa chuo kikuu. Sijui alikuwa anafundisha namna gani kwa lugha ile ya kipumbafu!

Alishawahi kuwa msimamizi wa baraza la mitihani la Taifa. Sijui alikuwa anasimamia kitu gani kwa lugha ile!

Amejiaibisha sana! Ujuaji mwiiingiiiiii kumbe debe tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi ni kiingereza au kingreza

Shule zakata tuna matataizo 😂😂

Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.

View attachment 1315270
KWA WASIOSIKIA VIZURI AMESEMA

‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’

CURRICULUM VITAE

Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]

Career[edit]
  • From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
  • From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaahaha eti na wewe ulitaka kuliona tatizo ?????!!!. Sasa wewe na yeye mnatofauti? Ok kwakukusaidia wadau hawazungumzii lafudhi hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umeongea kama vile wanifahamu, fanya kuweka wazi mimi ni nani na elimu yangu iko vp? sina uhakika ila naamini naweza kukuzidi vingi labda unizidi tambo za mtandaoni
 
Kujifunza lugha kwa urahisi ni kwanza kuizungumza hiyo lugha, sisi Watz, nyerere alituharibu, yeye alikuwa anajua kiingereza na hakutaka watz wengi tujue kiingereza kwa sababu Kiingereza kilibeba elimu nyingi hivyo tungeerevuka, kwani kumtawala mjinga ni rahisi kuliko mwerevu lakini kumuongoza mwerevu ni rahisi kuliko mjinga, alijua hilo.

Hayo ni maoni yangu, niko huru kusahihishwa.
Mimi ndiyo maana kale kazee sijawahi kukapenda.
 
Back
Top Bottom