Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Zamani UDSM kulikua kuna kitu kinaitwa 'marks za chupi' yaani lekchara akishaona chupi ya mtu husika anatoa marks za juu bila kusoma utumbo ulioandikwa na mhusika. Walio UDSM huo ujinga bado upo?
 
Never, utamaduni wetu kama msomi ni kiingereza fasihi! Kireno, kijerumani etc nobody will bother
Kwa Linguist kama mimi, sioni tatizo hapo. Ninaona tatizo pale Mbongo anapolazimisha kuongea kama Mwingereza au Mmarekani. Kuongea broken ni sawa tu hasa pale hiyo lugha inapokuwa ni "Third Language" ya muongeaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Profesa kaliamsha tena, kuna moja nimemskia akiwahutubia mabeberu mwenye kuweza aiweke hapa.... itakuwa anajifanyisha huyu.
 
The only, IQ yamtu haipimwi na uwezo wa kujua au kuandika kiingereza.
Wengi badala ya kuangalia nini Mtu anasema au anasungumza .tunakalia Kuangalia makosa ya kiuandishi utafikir sijui tunajifunza fasihi. Especially Kwa lugha ngeni.
Haya ni madhaifu ya Kitanzania.
Nenda kaangalie bunge la kenya watu wanaongea kiswahili kibovu ila muhimu tu ujumbe umefika inatosha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Emar,

Kwa uandishi wako huu uko sahihi kutetea madudu kama ulivyofanya hapa, sitegemei uwe na mtazamo tofauti na huo.... kwa heshima nakuunga mkono.
 
The only, IQ yamtu haipimwi na uwezo wa kujua au kuandika kiingereza.
Wengi badala ya kuangalia nini Mtu anasema au anasungumza .tunakalia Kuangalia makosa ya kiuandishi utafikir sijui tunajifunza fasihi. Especially Kwa lugha ngeni.
Na huo ni Baadhi ya madhaifu ya Kitanzania.
Nenda kaangalie bunge la kenya watu wanaongea kiswahili kibovu ila muhimu tu ujumbe umefika inatosha.


Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unaelewa ndo unajibu.IQ test zote huwa zinahusisha uwezo katika lugha .hiyo sio point yangu ninachohoji kiingereza kibovu cha form 2 kwenye msomo wa mtu alietumia english kupata PhD na kuandika vitabu na kufundishia chuo kikuu
 
Uwe unaelewa ndo unajibu.IQ test zote huwa zinahusisha uwezo katika lugha .hiyo sio point yangu ninachohoji kiingereza kibovu cha form 2 kwenye msomo wa mtu alietumia english kupata PhD na kuandika vitabu na kufundishia chuo kikuu
Bogus minister of education
 
Aaaah hiki chuo ni vituko vitupu, ndo matunda ya hake yametufikisha hapa miaka 50 watu wanalia ukosefu wa maji, vijijini barabara hazipitiki na watoto wetu wanalala gizani maana umeme uko mijini tu. Vyuo vya maana kama TEKU serikali iliviyumbisha kisa hawana maghorofa kama ya UDSM......naishia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Like Seriously! Are we here because of UDSM???
 
Huu uandishi unadhihirisha uwezo wako kitaaluma.

Naunga mkono hoja yako[emoji106]
The only, IQ yamtu haipimwi na uwezo wa kujua au kuandika kiingereza.
Wengi badala ya kuangalia nini Mtu anasema au anasungumza .tunakalia Kuangalia makosa ya kiuandishi utafikir sijui tunajifunza fasihi. Especially Kwa lugha ngeni.
Haya ni madhaifu ya Kitanzania.
Nenda kaangalie bunge la kenya watu wanaongea kiswahili kibovu ila muhimu tu ujumbe umefika inatosha.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.

View attachment 1315270
KWA WASIOSIKIA VIZURI AMESEMA

‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’

CURRICULUM VITAE

Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]

Career[edit]
  • From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
  • From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]




Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu ukikasirika sana mambo kama haya lazima yatokee! Broca aphasia lazima tu ikunyemelee, upende usipende! Akiwa ametulia mbona anaongeaga vizuri tu hicho kimombo!?
 
acheni porojo
prof hajui kiingereza , mleta mada hajasema kuwa kujua kiingereza ni akili , ameshangaa prof kutokujua ngeli


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom