Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?



Back to school, thank you,🤣
 
Mbona in Uk style katika 212, hapo hukuandika two hundred and twelve--, hiyo "and" hapo mbona umeiacha?? Kwa nini?? Kumbuka ile I50,000,000, ulisema in Uk style and inawekwa kwenye 150.
Kwa kuongezea ni kwamba tunatumia and kabla ya kutaja value ya mwisho.
150 = ni haki kusema One hundred and fifty. Na US wanaondoa And wanasema 'one hundred fifty'. Kwenye ile namba uliyoniandikia value ya mwisho ni 645 kwahiyo kabla ya 645 naweka and.
 



Wewe ni bank teller 🤣🤣
 
Sipendi hako ka emoji kwenye mambo ya msingi.
Okay thank you for your time.


Elimu ni furaha, ukiwa huna furaha hakuna kitu kitaingia kichwani. Hiyo falsafa na moja ya miundo mbinu ya elimu. 🙈
 
Mabeberu wanatutesa sana, kila nyaja.
 
Please, hiyo ni sayansi ya nini hasa??
The science of gambling on the future (to access risk of potential event) Tunatumia mathematics, statistics, economics and financial theory .

Nashindwa kuielezea kwa kiswahili.
 
'Make sure you have sufficient people'.

Hahah PH.d hizo na matunda yake.

Jalalani FC oyeee.

dodge
 
Na wamesoma kuanzia form 1mpk PH.d kwa mfumo wa kiingereza na hawajui kiingereza hahahah.
dodge
 
Sawa kabisa.

dodge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…