Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Kwa hiyo na wewe hujui Kiingereza kama Ndalichako? Utakesha kutetea na kichwa kitakuuma, andaa Panadol tu. Hatulali leo.

Kama kujua Kiingereza siyo Elimu, kwa nini medium of instruction ya Tanzania kuanzia Form 1 to University level ni English? Kwa nini tunasoma kama somo kwenye Primary to O-Level?

And lastly kwa nini Ndalichako mwenyewe aliamua kujibu kwa Kiingereza? Si alidhani anakuja?

Acheni kutetea udhaifu na ujinga
Mimi sina ujinga huo wakujisifia kujua kiingereza of course mimi nimeishi ulaya muda mrefu sana tu na hiyo lugha naijua lakini siwezi kusema kwamba kiingereza ndiyo kigezo cha kuwa na elimu au kuelimika bali ni lugha kama kimakonde tu ila wewe umeaminishwa kuwa ukijua kiingereza basi umeelimika which is not the case! Mimi hata kiswahili kinanipa shida kujieleza mbele ya kadamnasi mkuu.
 
Mimi sina ujinga huo wakujisifia kujua kiingereza of course mimi nimeishi ulaya muda mrefu sana tu na hiyo lugha naijua lakini siwezi kusema kwamba kiingereza ndiyo kigezo cha kuwa na elimu au kuelimika bali ni lugha kama kimakonde tu ila wewe umeaminishwa kuwa ukijua kiingereza basi umeelimika which is not the case! Mimi hata kiswahili kinanipa shida kujieleza mbele ya kadamnasi mkuu.
Sisi pia tumekulia hapa na hatuoni kama superior language .ila mtu akichukua phd ya elimu yoyote kwa kimakonde hatutarajii awe anaongea kimakonde cha hovyo walau kwa kiwango flani ,sasa prof amesomea english kama media from form four hadi phd anasema '''.....your going to stay on the cell until you provide serious explanation...''
 
Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.

View attachment 1315270
KWA WASIOSIKIA VIZURI AMESEMA

‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’

CURRICULUM VITAE

Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]

Career[edit]
  • From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
  • From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]




Sent using Jamii Forums mobile app
These are the ones we expect them to sail us through "the industrialization process" by 2025! How many degrees does she have?, hope she equals the mwakiembe lot!
 
Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.

View attachment 1315270
KWA WASIOSIKIA VIZURI AMESEMA

‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’

CURRICULUM VITAE

Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]

Career[edit]
  • From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
  • From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]




Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wangu mpendwa naona either kaamua kuongea kiswahili chenyewe ila kwa kiingereza au kaamua tu kutamka maneno ya kiingereza.
 
Kuna problem, kama huioni una matatizo. Professor ni Mwalimu aliyeobea kwenye fani yake kwa tafiti na machapisho. Hata kama anajuwa mathematics kama unavyodai, ameshindwa kuongea sentensi nyepesi sana za Kiingereza. Very pathetic, na huyu ndiye Waziri mwenye dhamana ya Elimu nchini.

Kweli hizi ndiyo degrii za chupi zimefika hadi kuwa Waziri
Ni ngumu kuelewa hasa ukikaa upande hasi, lengo kubwa la lugha ni mawasiliano. Na ametimiza ilo
 
Ukiwa unasoma science ndio ruksa kuongea lugha vibaya? Hzo research alikuwa anaandaaje report? Nakukumbusha tu maprof ma PhD Wachina, Warusi nk wanaongea lugha zao why asiongee kiswahili #ukishaingia kile chama akili unakabidhi kwa M/kiti refer Prof wa Jalalani

Sent using Jamii Forums mobile app
Yah she is free kuongea kiswahili lakini ujumbe ulikuwa unaenda kwa nani
 
Ndio alikuwa katibu mkuu wa wizara ya elimu kwl ??!
 
Shida ipo pakubwa sana! Hata hapa mtu anasubiri aambiwe aachie ngazi kwa manufaa ya umma?
 
Very interesting, hivi kama nataka kuanzisha biashara je inawezekana nyinyi "factual scientists" mkachambua na kunipa projection kama biashara yangu italipa??.

Nauliza hivyo ili siku fulani nikutafute.
Mokaze sisi sio factual scientist, sisi ni Actuaries. Usirudie kuchanganya tena.

Ndio tunaweza kukufanyia kazi yako. Tumesoma finance, business, Economics na hata Accounting.
 
Hapa Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako akitoa maagizo ya kukamatwa Mhandisi Mchina.

View attachment 1315270
KWA WASIOSIKIA VIZURI AMESEMA

‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’

CURRICULUM VITAE

Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]

Career[edit]
  • From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
  • From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]




Sent using Jamii Forums mobile app
Si Lugha yetu Jamani.
 
Watanzania acheni ulimbukeni, uzwazwa na ushamba. Lugha yako ya Taifa ni IPI? Haya hebu nambie wewe unaejua kingereza na huyu Professor asiyejua kingereza umemzidi nini cha msimanga hapa? Mwenzio kwenye rekod za vitabu vya dunia na dunia inamtambua, sasa wewe unaejifnya RAIA wa United Kingdom endelea kula kingereza chako.
Angeongea Kiswahili basi.
Wawe wanatembea na wakalimani inapobidi..
 
Mokanze sisi sio factual scientist, sisi ni Actuaries. Usirudie kuchanganya tena.

Ndio tunaweza kukufanyia kazi yako. Tumesoma finance, business, Economics na hata Accounting.


Samahani, nilichanganya kati ya "in facts" na "actually"---- na mimi naitwa Mokaze sio Mokanze.

By the way, nitakutafuta muda ukiwadia ili unipe ushauri wa kibiashara.
 
Wanamuonea kwakweli.


Hizo hesabu alijifunza kwa kiswahili au alipokuwa anafundisha alifundisha hesabu primary school??, hiyo siyo hoja, hoja ni hii kwamba kujua lugha ni kipaji naye hana kipaji cha lugha ya kiingereza, ndivyo mungu kamuumba hivyo.
 
Back
Top Bottom