Kwa hiyo na wewe hujui Kiingereza kama Ndalichako? Utakesha kutetea na kichwa kitakuuma, andaa Panadol tu. Hatulali leo.
Kama kujua Kiingereza siyo Elimu, kwa nini medium of instruction ya Tanzania kuanzia Form 1 to University level ni English? Kwa nini tunasoma kama somo kwenye Primary to O-Level?
And lastly kwa nini Ndalichako mwenyewe aliamua kujibu kwa Kiingereza? Si alidhani anakuja?
Mimi sina ujinga huo wakujisifia kujua kiingereza of course mimi nimeishi ulaya muda mrefu sana tu na hiyo lugha naijua lakini siwezi kusema kwamba kiingereza ndiyo kigezo cha kuwa na elimu au kuelimika bali ni lugha kama kimakonde tu ila wewe umeaminishwa kuwa ukijua kiingereza basi umeelimika which is not the case! Mimi hata kiswahili kinanipa shida kujieleza mbele ya kadamnasi mkuu.
Mimi sina ujinga huo wakujisifia kujua kiingereza of course mimi nimeishi ulaya muda mrefu sana tu na hiyo lugha naijua lakini siwezi kusema kwamba kiingereza ndiyo kigezo cha kuwa na elimu au kuelimika bali ni lugha kama kimakonde tu ila wewe umeaminishwa kuwa ukijua kiingereza basi umeelimika which is not the case! Mimi hata kiswahili kinanipa shida kujieleza mbele ya kadamnasi mkuu.
Sisi pia tumekulia hapa na hatuoni kama superior language .ila mtu akichukua phd ya elimu yoyote kwa kimakonde hatutarajii awe anaongea kimakonde cha hovyo walau kwa kiwango flani ,sasa prof amesomea english kama media from form four hadi phd anasema '''.....your going to stay on the cell until you provide serious explanation...''
‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’
CURRICULUM VITAE
Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]
Career[edit]
From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]
KIINGEREZA SI LUGHA YETU __________________ Kumbukumbu zinanirudisha zaidi ya miaka 10 nyuma tukiwa kwenye vimbweta vya Tegeta High school na wanangu Mdax, DVd pamoja na kizazi tukikata topic ya colonialism in Africa. Tayari tumeishakula mihogo yetu ya kukaanga na kachumbari nyingi yenye...
These are the ones we expect them to sail us through "the industrialization process" by 2025! How many degrees does she have?, hope she equals the mwakiembe lot!
‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’
CURRICULUM VITAE
Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]
Career[edit]
From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]
KIINGEREZA SI LUGHA YETU __________________ Kumbukumbu zinanirudisha zaidi ya miaka 10 nyuma tukiwa kwenye vimbweta vya Tegeta High school na wanangu Mdax, DVd pamoja na kizazi tukikata topic ya colonialism in Africa. Tayari tumeishakula mihogo yetu ya kukaanga na kachumbari nyingi yenye...
Kuna problem, kama huioni una matatizo. Professor ni Mwalimu aliyeobea kwenye fani yake kwa tafiti na machapisho. Hata kama anajuwa mathematics kama unavyodai, ameshindwa kuongea sentensi nyepesi sana za Kiingereza. Very pathetic, na huyu ndiye Waziri mwenye dhamana ya Elimu nchini.
Kweli hizi ndiyo degrii za chupi zimefika hadi kuwa Waziri
Ina impact gani negative akishindwa kutamka? Ishu ni kujua kiingereza au kutimiza majukumu yake?
Kwa hoja hii ili mtu awe kiongozi mkubwa ajue kiingereza fluent?
Ukiwa unasoma science ndio ruksa kuongea lugha vibaya? Hzo research alikuwa anaandaaje report? Nakukumbusha tu maprof ma PhD Wachina, Warusi nk wanaongea lugha zao why asiongee kiswahili #ukishaingia kile chama akili unakabidhi kwa M/kiti refer Prof wa Jalalani
Very interesting, hivi kama nataka kuanzisha biashara je inawezekana nyinyi "factual scientists" mkachambua na kunipa projection kama biashara yangu italipa??.
‘’Advance payment ya hi nanii milioni mia moja hamsini ,your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site mheshimiwa sasa kawaweke hawa siwezi kuwa ….’’
CURRICULUM VITAE
Early life and education[edit]
She was born on May 21, 1964, in Musoma, Mara Region in Tanzania. She attended University of Dar Es Salaam from 1987–1991, where she graduated with Bachelor of Science with education, majoring in mathematics. During 1993–1997 she went to University of Alberta, Edmonton, Alberta, Canada, where she obtained a PhD in educational psychology, major in educational statistics & measurement and evaluation.[2]
Career[edit]
From 2000 to 2005 she was the senior lecturer at the University of Dar Es Salaam teaching educational measurement and evaluation, research methods, and educational statistics, supervising dissertation of the students.[3][2]
From 2014 to date she has been the associate professor and deputy head researcher at Agha Khan University Institute for Educational Development, East Africa [2][3]
KIINGEREZA SI LUGHA YETU __________________ Kumbukumbu zinanirudisha zaidi ya miaka 10 nyuma tukiwa kwenye vimbweta vya Tegeta High school na wanangu Mdax, DVd pamoja na kizazi tukikata topic ya colonialism in Africa. Tayari tumeishakula mihogo yetu ya kukaanga na kachumbari nyingi yenye...
Watanzania acheni ulimbukeni, uzwazwa na ushamba. Lugha yako ya Taifa ni IPI? Haya hebu nambie wewe unaejua kingereza na huyu Professor asiyejua kingereza umemzidi nini cha msimanga hapa? Mwenzio kwenye rekod za vitabu vya dunia na dunia inamtambua, sasa wewe unaejifnya RAIA wa United Kingdom endelea kula kingereza chako.
Hizo hesabu alijifunza kwa kiswahili au alipokuwa anafundisha alifundisha hesabu primary school??, hiyo siyo hoja, hoja ni hii kwamba kujua lugha ni kipaji naye hana kipaji cha lugha ya kiingereza, ndivyo mungu kamuumba hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.