KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Watuletee kodi ya kichwa halafu sisi tutawaonyesha ufundi tunakata vichwa na wanatuona tunadunda na viwiliwili mtaani!.Misaada ikiachwa kutolewa, kila aina ya kodi hamtaacha kuiona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watuletee kodi ya kichwa halafu sisi tutawaonyesha ufundi tunakata vichwa na wanatuona tunadunda na viwiliwili mtaani!.Misaada ikiachwa kutolewa, kila aina ya kodi hamtaacha kuiona.
Utakuwa hukuwa umenunua umeme kwa miezi miwili. Hiyo ni kodi ya nyumba kila mwezi 1500Habari zenu JFView attachment 3223023
Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
Wapi umelipia umeme wa 20k wewe mmatumbi?Hata mimi nimejiuliza sana tu...serikali isiyoona haya kuwaibia wananchi wake!
Cost 6,967.22
VAT 18% 1,254.09
EWURA 1% 69.67
REA 3% 209.02
Debt Collected 1,500.00
TOTAL 10,000.00
Fikiria unalipia LUKU ya 20,000, unapata LUKU ya 6,967.22 ! Asilimia 35% imeliwa!
kodi ya jengo ambayo ni 1500 kwa mwezi ila inaonekana umedouble miezi miwili hujalipaHabari zenu JFView attachment 3223023
Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
Muulize mwenye nyumba, hiyo kodi ya ardhi na tunalipa muda mrefu sasa. Nadhani ndo umepanga leo.Habari zenu JFView attachment 3223023
Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
Wakubwa wanatutesa tu kwanza wapunguze Bei ya unit walau iwe 150 ili tupate ahueni .Habari zenu JFView attachment 3223023
Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
Rais wetu mimi na nani??Rais wenu ananunua magoli.. utegemee kodi za wamarekani..
Aahaah, mambo yanayoipata nchi yetu kwa sasa eeh ,?🤣🤣😂😂
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
Luka 24:13-35
Yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja nao. Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua. Akawauliza, “Mnazungumza nini huku mnatembea?” Nao wakasimama kimya, nyuso zao wamezikunja kwa huzuni. Mmoja, aitwaye Kleopa, akamjibu, “Je, wewe ni mgeni peke yako Yerusalemu ambaye hujui yaliyotukia huko siku hizi?” Naye akawajibu, “Mambo gani?” Wao wakamjibu, “Mambo yaliyompata Yesu wa Nazareti.
Ndio mkuu kodi mbalimbali zimeenda na 10,250/= hawa jamaa wanakula hela zetu hatari...Duh mkuu hapa inamaana ni kwamba umelipia umeme wa 50,000 lakini umepewa units za umeme wa 39,754.10?
Duh! Aise kama ndo hivyo basi sio mchezo hizo kodi ni balaa.
AiseeHata mimi nimejiuliza sana tu...serikali isiyoona haya kuwaibia wananchi wake!
Cost 6,967.22
VAT 18% 1,254.09
EWURA 1% 69.67
REA 3% 209.02
Debt Collected 1,500.00
TOTAL 10,000.00
Fikiria unalipia LUKU ya 20,000, unapata LUKU ya 6,967.22 ! Asilimia 35% imeliwa!
Aise hii sio fair kabisa, sikuwa nalifahamu hili kabisa.Ndio mkuu kodi mbalimbali zimeenda na 10,250/= hawa jamaa wanakula hela zetu hatari...