Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Duh! Asalamaleko! Napo sijui...! Maana mwingine ataongezea "Nenda mwana kwenda"!🙏😂Inapaswa libadilike na kuwa mwanakwenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Asalamaleko! Napo sijui...! Maana mwingine ataongezea "Nenda mwana kwenda"!🙏😂Inapaswa libadilike na kuwa mwanakwenda
Duh!Asalamaleko!Napo sijui...!Maana mwingine ataongezea "Nenda mwana kwenda"![emoji120][emoji23]
Kweli wewe ni mchizi.😂Kuondoa utata aitwe mwendakuzimu
Jamaa anashangaa bei ya wembe @ imefika Tsh.800/=
Nimecheka...Inapaswa libadilike na kuwa mwanakwenda
Hili neno linaukakasi kulitumia kwenye kadamnasi ndio maana hakuna kiongozi mkubwa amewahi kulitamka hili hadharani...Dharau inatokea wapi kwa matumizi ya neno la kiswahili?
Neno hilo siyo la tarehe 17/03/2021.Ni neno la siku nyingi.Ni namna baadhi ya watu wanavyolichukulia,kulitafsiri kivyaovyao na kutoa hitimisho la "ladha" ya neno kimatumizi.Hili neno linaukakasi kulitumia kwenye kadamnasi ndio maana hakuna kiongozi mkubwa amewahi kulitamka hili hadharani...
Hilo neno lilianza kushika trend kwenye hii nchi,baada ya KIGOGO2014 Alipoanza kulitumia akimkebehi hayati..
Ni la muda kweli sijakataa lakini limevuma baada ya kigogo kulitumia kama kebehi kwa magufuli...Neno hilo siyo la tarehe 17/03/2021.Ni neno la siku nyingi.Ni namna baadhi ya watu wanavyolichukulia,kulitafsiri kivyaovyao na kutoa hitimisho la "ladha" ya neno kimatumizi.
Kwani uliona watu wamefurahia Mkapa kufa? Lakini kwa Mwendazake ilikuwa burudani mpaka Manji akarudi. Vitendo na tabia za Dikteta Magu ndio maana hili jina limemkaa.Mbona mkapa haiitwi?
Nyerere haitwii?
Why only JPM?
mbona kama ni muuzaji huyo ?Jamaa anashangaa bei ya wembe @ imefika Tsh.800/=
Ila sio majina mazuri pamoja na lile la dikteta uchwara...Kwani uliona watu wamefurahia Mkapa kufa? Lakini kwa Mwendazake ilikuwa burudani mpaka Manji akarudi. Vitendo na tabia za Dikteta Magu ndio maana hili jina limemkaa.
Msinipeleke Mirembe[emoji23][emoji119][emoji2536][emoji125][emoji2536]Nimecheka...
Wewe ni "kichaa"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Maana halisi ya hayati ni mtu aliye hai na ndiyo maana siku hizi huwa halitumiki (likitumika kimakosa).Walitakiwa wamuite Hayati ila si wajua tena mkuu siku hizi watangazaji wanaokotwa tu mitaani bila kujali wana taaluma hio ama la
Sikuwa namwelewa magu ila yule mtangazaji kumuita mwendazake sijapendaLimekaa kikejeli sio official.. Mbona mkapa hakuitwa hivyo wala Nyerere?
Wauni walimtungia Hilo Jina likawa kama msimu Sasa watu washaanza kuzoea
Kile kidada kina mdomo Sana huwa siwezi sikiliza kile kipindi Ni Leo nimechelewa toka na nililala nikisikiliza hio radio hivo Hadi kipindi Cha Mama Mia kinaanza nilikuwa sijatokaHiyo ni dharau, halafu EARADIO ni media kubwa ila watangazaji wake hawana haiba kabisa.
Kwa hio mwendazake inamaanisha marehemu et?Tunahitaji walimu watufundishe kiswahili humu JF!Kwani wakitamka hilo neno "MWENDAZAKE" unapata picha gani?Kwamba:
NB:Ni neno la kiswahili lenye maana ya marehemu au mtu aliyefariki.Lakini,kama unaona haulipendi,unaweza kutumia lingine lifaalo.
- Aliondoka kwa kutoroka bila kuaga?
- Aliamua aende zake tu bila mpango?
- Alifukuzwa akajiondokea zake?
- Alichukia tu akaamua aondoke zake?