Hivi hili jina Mwendazake wanalomuita Magufuli ni official?

Hivi hili jina Mwendazake wanalomuita Magufuli ni official?

Ni neno sahihi la kiswahili ondoa shaka.

Kule kwetu Kenya(tamka Kinya) huwa tunalitimia sana tukimaanisha marehemu.
Ni Kenya huko na sio TZ


Hata waunda magari Kuna baadhi ya nchi hawauzi na jina Hilo wanabadili sababu sehemu husika jina la gari linaweza maanisha kitu sio kizuri kwa jamii hivo wanabadili ,,

Kama kenye Ni sawa Basi huku tz kumuita hayati magufuli mwendazake sio sahihi ,, yule Ni rais alikuwa ana cheo hapaswi itwa marehemu Bali hayati ..mwendazake utaita wazazio wakifariki
 
Ni Kenya huko na sio TZ


Hata waunda magari Kuna baadhi ya nchi hawauzi na jina Hilo wanabadili sababu sehemu husika jina la gari linaweza maanisha kitu sio kizuri kwa jamii hivo wanabadili ,,

Kama kenye Ni sawa Basi huku tz kumuita hayati magufuli mwendazake sio sahihi ,, yule Ni rais alikuwa ana cheo hapaswi itwa marehemu Bali hayati ..mwendazake utaita wazazio wakifariki
Taka ni mwendazake usitake ni mwendazake..

Wewe ukikata moto ni marehemu mwendazake linamfaa yule jiwe na sio hayati. Hayati ni baba wa taifa na mkapa.
 
Jina mwendazake asili yake ni Kenya, tulilisikia kukalipenda na ndiyo tukaamua kumbatiza huyu mbabe wetu.. tumefanikiwa kwa kweli.
 
MWENDAZAKE :neno hili humaanisha mtu ambae hakufanya chochote kwa jamii Bali alifanya yote yanayomuhusu mwenyewe hivyo yoote aliyoyanya ni ya kwake mwenyewe hili ni tusi kubwa Sana ,Ina maanisha amekufa na ameondoka na vyoote hakuacha chochote kwa jamii yeyote ,familia, ndugu ,jamaa,rafiki, yaani mbinafsi ,nk
 
MWENDAZAKE :neno hili humaanisha mtu ambae hakufanya chochote kwa jamii Bali alifanya yote yanayomuhusu mwenyewe hivyo yoote aliyoyanya ni ya kwake mwenyewe hili ni tusi kubwa Sana ,Ina maanisha amekufa na ameondoka na vyoote hakuacha chochote kwa jamii yeyote ,familia, ndugu ,jamaa,rafiki, yaani mbinafsi ,nk
Sio kweli,mwenda zake ni mwenda pekee.
 
hilo neno mimi kwa mara ya kwanza nililisikia kanisani.
kwa wale watu wa kanisa hilo ni neno la kawaida
 
Back
Top Bottom