Hivi hili kombe mbona kama la Umisseta?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Hii nchi kuna utani kila sehemu. Hivi TFF wanawezaje kutoa kikombe uchwara kama hiki kwa Bingwa wa Nchi?

Mimi nimezoea kuyaona kwenye michuano ya UMISSETA ile michuano ya wanafunzi wa sekondari. Hii haikubaliki, ni udhalilishaji wa Bingwa wa nchi.
 
Tff wanajua jinsi Boda Fc walivyochukua ubingwa, so wameona wasijichoshe!
 
Tff wanajua jinsi Boda Fc walivyochukua ubingwa, so wameona wasijichoshe!
Lakini hii ni aibu kwao na Nchi pia hasa wakati huu wa Teknolojia.
 
Kwanini wafanyabiashara wamegoma kudhamini TPL? Haina maslahi? How?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…