Hivi hili ni kosa?

Hivi hili ni kosa?

Hilo siyo kosa.......... Ulistahili kufanya hivo
 
Kwani ungekaa kimya bila kuwaeleza wazazi wake then ukamwacha na kuendelea na maisha yako ungepungukiwa nini??
 
na nyie huwa hamsomi alama za nyakati vijana???kwani ulikuwa umpe ada ww ni baba yake??aah.kashaniudhi tayari
 
mhhh unamoyo ndugu yangu,me mgumu sana kuhonga maana hawa wanawake asilimia kubwaa hawana shukrani,komaa nae tu mpaka akulipe,tena akulipe zote,sio nusu,maan hafai kuwa mpenz,labda kidosho tu.
 
ukimsaidi demu wako ukitarajia awe mke wako imekula kwako!!msaidie tu uende zako
 
ushamba unao kweli,badala ya kuenda kutafuta mke kijijini ulipotokea unatafuta kwa watoto wa mjini wanaovaa les wigi utaisoma number.....:laugh::laugh::laugh::twitch:
 
...Binti amekosea kukutukana tu.(najiweka kwenye shoes zake)...Hapo kwenye kuwaeleza wazazi wake pia umekosea.....utamshtakia mangapi??? keshakuwa huyo....ungesubiri tu allowance ikiisha akija tena ndio unampa darasa......pia kama yupo chuo anaona wenzake wanahongwa hawadaiwi lazima ashangae wewe kumdai.....

siku nyingine ukiambiwa utarudishiwa ujue hiyo ni gia tu ya kuombwa pesa, hazirudi hizo.....
 
Sasa kwa upande wa huyo mpenzi wangu, ananilalamikia kuwa nimefanya kitendo ambacho sio cha kistaarabu na nimemdharau.
demokrasia, sidhani kama uko sawa! Naamini umechanganyikiwa kwa mapenzi ya huyo Kicheche. aliyokutukana hakuwa amekudharau na hakuwa mstaarabu?

Piga chini fasta. Demu Bomba hawezi (kwa 95%) kutoka Vyuo Vikuu (hasa kama hakupumzika kidogo baada ya kidato cha sita). Msomi ambaye ni mpenzi, hawara, mke bomba lazima maisha kwanza ya KITAA ayafahamu na afute Ndoto zake za Alinacha.

Ndimi Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwanaume. Nina mpenzi wangu ambaye bado yupo chuo anasoma. Nimekuwa nikijitahidi kumsaidia mambo mengi sana pale hali yangu ya uchumi inaporuhusu. Hivi majuzi ilitokea huyu binti alipata tatizo la kutaka kuzuiwa kufanya mitihani kwa sababu alikuwa hajamaliza kulipa ada, hivyo akaniomba nimsaidie. Kutokana na majukumu mengi niliyokuwa nayo wakati huo, kiasi cha pesa alichokuwa anahitaji ndicho kilichokuwa nimebaki nacho kwenye akaunti yangu. Nilimweleza hali halisi, lakini yeye akaniambia kuwa nimpatie tu hiyo hiyo kwa sababu anategemea kupewa hela hiyo na mzazi wake wiki inayofuata halafu atairejesha. Kutokana na uzito wa jambo hilo, nilikubali kukausha akaunti yangu nikampatia pesa hiyo. Baada ya kumaliza mitihani, nilimwambia kuwa baba yake akimpatia hiyo pesa, asinirudishie yote bali aigawe, nusu anirudishie na nusu abaki nayo ili imsaidie kwenye matumizi yake binafsi. Cha kusikitisha huyu binti alianza kunirushia maneno ya kashfa kuwa mimi ni mshamba, maskini, limbukeni, kwa sababu eti kuna wanaume wanahonga magari lakini hawadai. Pia alifikia hatua ya kunikatia simu pamoja na ku-block namba yangu.Wana JF hayo maneno yaliniuma sana kwa sababu ni mambo mengi sana nimemsaidia siku za nyuma na sijawahi kumdai anirudishie. Sema tu this time ilitokea hivyo kwa sababu uchumi wangu ulikuwa umebana. Kutokana na jinsi ambavyo nilichukia kwa maneno yake ya kashfa aliyonitolea, niliamua kuwaeleza wazazi wake kuhusu anayoyafanya binti yao. Wazazi walinishukuru sana kwa kuwapa hizo taarifa na walisikitika sana na kuahidi kuchukua hatua ya kumuonya binti yao. Sasa kwa upande wa huyo mpenzi wangu, ananilalamikia kuwa nimefanya kitendo ambacho sio cha kistaarabu na nimemdharau. Wana JF naomba mawazo yenu, je hapo nimekosea kuwaeleza wazazi wake?

Pole sana, hii ni noma! Chuo gani hicho ili tuunde tume ya uchunguzi.
 
Demokrasia

Ni kweli unamakosa, you had NO right to go and tell her parents what transpired between you two. If you were legally bound kweli, Kwani ni mkeo huyo? This is nothing but the case of "Cant stand the heat, dont be in the kitchen" :angry:!!!!! So what if umpempa blah blah blah , na kutoa msaada including zeroing your acc?Kama despite all that anakudharau and shouldnt the obvious action be leaving her!?? Unang'ang'anie mwenyewe while huwezi kummudu kifedha, kiushauri wala tabia halafu you want to play the victim,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,urgh~!!!!!!!!!!!!!?

Wewe utakuwa ni wa aina hiyo hiyo ndio maana umetoa ushauri wa kipuuzi kama huu.
 
Wewe utakuwa ni wa aina hiyo hiyo ndio maana umetoa ushauri wa kipuuzi kama huu.

Demokrasia
YOu can disagree with my advice and call it whatever, but assuming you know me or my kind!!!....................how lame!!? Just so you know,I had a tonne to say about this but, figured why waste my ..............and/or tire ............................. for such..................................... f


PS
Contrary to your assumption above "Mimi" ni wale who pay their bills:coffee:
 
pole sana kaka ,ila wapo watu kama hao ,wanakutumiliaaa ,then ukiwambia kitu anasahau wema wako unakuwa sawa na ziro , achana nae bwana aikuzingue ,kama vip s ata fute ao wenye hela na simalimbukeni , wewe s amekuona unahangaika na maisha then una msaidia anakuona ***** , watu wanasema hujui thamani ya kitu mpaka ukikose ,sasa wewe chukua time yako asi kudhalilishe , wazur wapo na wenye heshima na ubinaadamu utapata duniani ,,
 
Back
Top Bottom