Hivi hizi hesabu toka JamiiForums zinaweza kuashiria tabia ya mchangiaji?

Hivi hizi hesabu toka JamiiForums zinaweza kuashiria tabia ya mchangiaji?

Wickama

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2009
Posts
1,466
Reaction score
1,196
Wadau,

Ni kawaida kukuta wachangiaji wa JF wakipewa mrejesho (feedback) za POSTS, LIKEs, UNLIKES, Quotes nk. Sasa nauliza:

1. Ukikuta mtu kapost 10,000 postings, katika hizo postings ana jumla ya LIKEs 100. Ina maana gani kwa kuwa ukigawa Likes/postings unapata 0.1. Lakini ukikuta mwingine pia mwenye 10,000 postings lakini ana Likes 9600 (ratio 0.96) Jee haitakuwa kweli kumchukulia mwenye ratio ndogo (Likes 100) kama ni kilaza au for most time anajiandikia garbage?

2. Jee kama watu wawili wote wana likes recieved 9000. Kisha mmoja wao ana Likes given 10,000 (ratio 1.1) huku mwenziwe ana likes given 440 (ratio 0.05) ina maana gani? Hizi ratio haziwezi kuwa kama kiashiria kuwa mwenye ndogo (ratio 0.05) kiasili ni mchoyo na mbinafsi sana kuliko mwenziwe mwenye ratio kubwa?

Nawakilisha
 
Unaweza ukawa sawa na usiwe sawa pia. Kilaza anaweza kuwa na likes nyingi kuliko genious.
1. Huyo wa likes ratio kubwa anaweza akawa amepata likes nyingi kwenye social forums kama chitchat, mmu n.k.
2. Pia kuna kufahamika na kuwa famous, kama ukiwa makini kuangalia kuna watu ni famous by nature either kwa kushusha nondo, kuwa notorious, au just kufahamika nje ya forums.
Siku nyingine ukiwa unaangalia likes/post ratio angalia na majukwaa ambayo huyo mtu anajiusisha. Unaweza kukuta 89% ya post zake zipo chitchat ambapo huwez kuhitimisha kwamba huyo mtu sio kilaza.
Binafsi nimeona michango mingi yenye tija na watu hawapati likes vilevile kuna vilaza wanabishana just gossips na wanakula likes.
Hii ndo jamii ya kitanzania.
 
Una akili sana weye!!!!

Unaweza ukawa sawa na usiwe sawa pia. Kilaza anaweza kuwa na likes nyingi kuliko genious.
1. Huyo wa likes ratio kubwa anaweza akawa amepata likes nyingi kwenye social forums kama chitchat, mmu n.k.
2. Pia kuna kufahamika na kuwa famous, kama ukiwa makini kuangalia kuna watu ni famous by nature either kwa kushusha nondo, kuwa notorious, au just kufahamika nje ya forums.
Siku nyingine ukiwa unaangalia likes/post ratio angalia na majukwaa ambayo huyo mtu anajiusisha. Unaweza kukuta 89% ya post zake zipo chitchat ambapo huwez kuhitimisha kwamba huyo mtu sio kilaza.
Binafsi nimeona michango mingi yenye tija na watu hawapati likes vilevile kuna vilaza wanabishana just gossips na wanakula likes.
Hii ndo jamii ya kitanzania.
 
Wadau,

Ni kawaida kukuta wachangiaji wa JF wakipewa mrejesho (feedback) za POSTS, LIKEs, UNLIKES, Quotes nk. Sasa nauliza:

1. Ukikuta mtu kapost 10,000 postings, katika hizo postings ana jumla ya LIKEs 100. Ina maana gani kwa kuwa ukigawa Likes/postings unapata 0.1. Lakini ukikuta mwingine pia mwenye 10,000 postings lakini ana Likes 9600 (ratio 0.96) Jee haitakuwa kweli kumchukulia mwenye ratio ndogo (Likes 100) kama ni kilaza au for most time anajiandikia garbage?

2. Jee kama watu wawili wote wana likes recieved 9000. Kisha mmoja wao ana Likes given 10,000 (ratio 1.1) huku mwenziwe ana likes given 440 (ratio 0.05) ina maana gani? Hizi ratio haziwezi kuwa kama kiashiria kuwa mwenye ndogo (ratio 0.05) kiasili ni mchoyo na mbinafsi sana kuliko mwenziwe mwenye ratio kubwa?

Nawakilisha

Haya kula "like"
 
Unaweza ukawa sawa na usiwe sawa pia. Kilaza anaweza kuwa na likes nyingi kuliko genious.
1. Huyo wa likes ratio kubwa anaweza akawa amepata likes nyingi kwenye social forums kama chitchat, mmu n.k.
2. Pia kuna kufahamika na kuwa famous, kama ukiwa makini kuangalia kuna watu ni famous by nature either kwa kushusha nondo, kuwa notorious, au just kufahamika nje ya forums.
Siku nyingine ukiwa unaangalia likes/post ratio angalia na majukwaa ambayo huyo mtu anajiusisha. Unaweza kukuta 89% ya post zake zipo chitchat ambapo huwez kuhitimisha kwamba huyo mtu sio kilaza.
Binafsi nimeona michango mingi yenye tija na watu hawapati likes vilevile kuna vilaza wanabishana just gossips na wanakula likes.
Hii ndo jamii ya kitanzania.

sawa mkuu, ila hoja yangu inakuja pata mashaka nikiangalia tuseme kwa mfano (samahani lakini) wewe bango linaonyesha postings 21,488 likes received 6364 (ratio 0.3). Sasa katika likes zako 6364 umetoa kwa wengine "likes"
807 (ratio 0.13), sasa Bulldog, unakesi ya kujibu, ni vipi wewe ukawa ni mpokeaji mzuri wa likes za wengine
lakini mgumu kutoa? ndio swali mama. Je wewe ni mkarimu? kuliko BAK, mwenye ratio ya 1.1, au Saambovu (ratio 1.12)
kwa kupata na kutoa likes? (hahahahahahah...)

BAK, SaaMbovu, mdukuzi, King Kong III, zambrota,
 
Unaweza ukawa sawa na usiwe sawa pia. Kilaza anaweza kuwa na likes nyingi kuliko genious.
1. Huyo wa likes ratio kubwa anaweza akawa amepata likes nyingi kwenye social forums kama chitchat, mmu n.k.
2. Pia kuna kufahamika na kuwa famous, kama ukiwa makini kuangalia kuna watu ni famous by nature either kwa kushusha nondo, kuwa notorious, au just kufahamika nje ya forums.
Siku nyingine ukiwa unaangalia likes/post ratio angalia na majukwaa ambayo huyo mtu anajiusisha. Unaweza kukuta 89% ya post zake zipo chitchat ambapo huwez kuhitimisha kwamba huyo mtu sio kilaza.
Binafsi nimeona michango mingi yenye tija na watu hawapati likes vilevile kuna vilaza wanabishana just gossips na wanakula likes.
Hii ndo jamii ya kitanzania.
Hii ni kweli kabisa mkuu, mtu anaandika 'husband njoo huku ujionee.....' anakula like 10.
 
sawa mkuu, ila hoja yangu inakuja pata mashaka nikiangalia tuseme kwa mfano (samahani lakini) wewe bango linaonyesha postings 21,488 likes received 6364 (ratio 0.3). Sasa katika likes zako 6364 umetoa kwa wengine "likes"
807 (ratio 0.13), sasa Bulldog, unakesi ya kujibu, ni vipi wewe ukawa ni mpokeaji mzuri wa likes za wengine
lakini mgumu kutoa? ndio swali mama. Je wewe ni mkarimu? kuliko BAK, mwenye ratio ya 1.1, au Saambovu (ratio 1.12)
kwa kupata na kutoa likes? (hahahahahahah...)

BAK, SaaMbovu, mdukuzi, King Kong III, zambrota,
Wengi kama mimi wana surf Forums kupitia mobile phones hivyo si rahisi ku click Like.
 
Hii sasa inaitwa sasambu sasambu,kumbe jamaa alikuwa anamtafuta jamaa,sasa jamaa wamekutana
 
sawa mkuu, ila hoja yangu inakuja pata mashaka nikiangalia tuseme kwa mfano (samahani lakini) wewe bango linaonyesha postings 21,488 likes received 6364 (ratio 0.3). Sasa katika likes zako 6364 umetoa kwa wengine "likes"
807 (ratio 0.13), sasa Bulldog, unakesi ya kujibu, ni vipi wewe ukawa ni mpokeaji mzuri wa likes za wengine
lakini mgumu kutoa? ndio swali mama. Je wewe ni mkarimu? kuliko BAK, mwenye ratio ya 1.1, au Saambovu (ratio 1.12)
kwa kupata na kutoa likes? (hahahahahahah...)

BAK, SaaMbovu, mdukuzi, King Kong III, zambrota,

Hahaha, ninatoa sana rep power mkuu kuliko likes. Nikiona mchango umeniugusa na nikaupenda nakupa rep power which has more status than likes.
 
I think Rep power ndio inaonyesha how a person is,great thinker or not,wenye rep power kubwa hao ndio ma great thinker kutokana na michango yao.na unapewa kabisa ikitokea umechangia vizuri.

Mimi ni shahidi,kuna post niliileta kwenye moja ya majukwaa humu JF rep power ikapanda sana na nilipata notification.
 
Hahaha, ninatoa sana rep power mkuu kuliko likes. Nikiona mchango umeniugusa na nikaupenda nakupa rep power which has more status than likes.

Ukija kwenye reputation ina maana wenye reputation kubwa ndio wenye point sana au!? kwa mfano Mamndenyi, je huwa anaongea point sana!?
 
Last edited by a moderator:
I think Rep power ndio inaonyesha how a person is,great thinker or not,wenye rep power kubwa hao ndio ma great thinker kutokana na michango yao.na unapewa kabisa ikitokea umechangia vizuri.

Mimi ni shahidi,kuna post niliileta kwenye moja ya majukwaa humu JF rep power ikapanda sana na nilipata notification.

Mbona watu wanaopenda kuchangia MMU ndio wanaonekana ndio wenye rep power kubwa na kule chitchat, je hao ndio ma great thinker!?
 
Unaweza ukawa sawa na usiwe sawa pia. Kilaza anaweza kuwa na likes nyingi kuliko genious.
1. Huyo wa likes ratio kubwa anaweza akawa amepata likes nyingi kwenye social forums kama chitchat, mmu n.k.
2. Pia kuna kufahamika na kuwa famous, kama ukiwa makini kuangalia kuna watu ni famous by nature either kwa kushusha nondo, kuwa notorious, au just kufahamika nje ya forums.
Siku nyingine ukiwa unaangalia likes/post ratio angalia na majukwaa ambayo huyo mtu anajiusisha. Unaweza kukuta 89% ya post zake zipo chitchat ambapo huwez kuhitimisha kwamba huyo mtu sio kilaza.
Binafsi nimeona michango mingi yenye tija na watu hawapati likes vilevile kuna vilaza wanabishana just gossips na wanakula likes.
Hii ndo jamii ya kitanzania.


Penye red hilo nalo lichangia ''likes'' nyingi.
 
avatar ni mojawapo ya catalyst za like humu, think a bit and you will comprehend this fact
 
Ukija kwenye reputation ina maana wenye reputation kubwa ndio wenye point sana au!? kwa mfano Mamndenyi, je huwa anaongea point sana!?


Unajua Mkuu wa chuo, kuna snag moja, parameter ya Rep Power, inaonyesha your reputation, SAWA. Bado pia wachangiaji wa thread yoyote ile wanaweza kumgonga star wao REPs na ikapanda. Tatizo la hii parameter navyoona mimi ni kuwa hupati feedback huyu aliye na Rep power fulani, yeye katoa Reps ngapi kwa wachangiaji wengine.

Kwa maana hiyo iliyo MOST transparent katika kupima ukarimu wa Mr X (tuuite Generosity Index-GI) ni hii ya LIKES received, na LIKEs given.

The issue at hand ni kwamba nikikuta mtu ana "LIKEs received 20,000" huku yeye ana "Likes given" 320 naanza kuhisi huyu "mshikaji ni bahili" yaani GI yake iko LOW.

Lakini nikikuta ana Likes received 800, Likes given 960 nahisi ni mwepesi wa kushukuru michango ya wenzake. Naona ni a bit academical.

cc Bulldog, Mamndenyi, Nakapanya, mdukuzi, King Kong III, Eiyer, 2013,
 
Last edited by a moderator:
avatar ni mojawapo ya catalyst za like humu, think a bit and you will comprehend this fact

Aisee..................... i never thought of this angle, you may have a researchable agenda
 
Back
Top Bottom