Hivi hizi story za kuwa fid Q ni marioo zina ukweli wowote?

Hivi hizi story za kuwa fid Q ni marioo zina ukweli wowote?

Hizi story nazisikia sana kuwa fid ni marioo kuwa anaish kwa kulelewa ni binti wa kizungu hivi story ni za kweli maana kama siziamini ivi....coz kina ngosha hatuna izo sifa
Chaliii at work. Mtu ni msanii mkubwa halafu unasema ni marioo
 
Analelewa jcb yuko sweden kawekwa ndani... Watoto wa chuga ndio ma marioo zaidi.. Bisha nikutajie
 
Mzungu akikupenda haoni hatare kukutunza Uwe tu mkweli nina rafiki wa kike wa Kizungu kunipa Dola 50 au 100 akjiskia haona hatari au zawad
 
mkuu usawa unabana sana uhu kufatilia maisha ya watu tuwaachie kina dada...
 
"Wanafuga rasta ili wapate mademu wa kizungu"
 
Back
Top Bottom