Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KubebwaKulelewa ndio nini?
Tuanzie hapo kwanza
Kwani mzungu anakula cementKwa akili yako finyu unaamini kama fid Q ana uwezo wa kumuhudumia uyo mzungu
Kwetu wazungu bei rahisi sana, ukimnunulia makande ya 800/= yale yanayouzwa kwenye ndoo mzungu anahamia geto kwako.Kwa akili yako finyu unaamini kama fid Q ana uwezo wa kumuhudumia uyo mzungu
Fid Q ni mwana hiphop .Fid Q ndio nani na Marioo ndio nini? wengine hatuwajui hao watu.
Nadhani alitaka alelewe yeye!sio dhambi
Hamna ugomvi wala ujinga wowote unaofikiria. Ushamba wa haya matumizi ya mitandao ya kijamii yanawafanya watanzania kuonyesha upumbavu wao.Naona joh makini fans mnaanza kujibu mapigo kwa story za kubebwa ndugu yenu
Huu ugomvi wa kanda ya ziwa na kaskazini naona umetoka serikalini umehamia kwenye mziki
Mmoja anabebwa mmoja analelewa....YETU macho
Hili ni jukwaa la celebrities ukitaka story ambazo cyo za umbea nenda jukwaa la uchumi au majukwaa yanayogmfanana na ayoSorry acha Story za umbea