Chaliii at work. Mtu ni msanii mkubwa halafu unasema ni mariooHizi story nazisikia sana kuwa fid ni marioo kuwa anaish kwa kulelewa ni binti wa kizungu hivi story ni za kweli maana kama siziamini ivi....coz kina ngosha hatuna izo sifa
Kwani marioo unatakiwa kuwajeChaliii at work. Mtu ni msanii mkubwa halafu unasema ni marioo
Anachezea MJOMBA NI MAMA FC, ipo KATINDIUKA, Ifakara.Fid q mwenyewe mnayemsema kwan anachezea timu gan. Sion haja ya kumpaisha wakat wengine hatumfahamu
We nani hadi ujue watu wote duniani halafu ndo wazungumzwe????Fid q mwenyewe mnayemsema kwan anachezea timu gan. Sion haja ya kumpaisha wakat wengine hatumfahamu
Acheni wivu wa kichawiKwani marioo unatakiwa kuwaje
Chindoman, RamadeeAnalelewa jcb yuko sweden kawekwa ndani... Watoto wa chuga ndio ma marioo zaidi.. Bisha nikutajie