Hivi hizi zote ni bendera za Tanzania au macho yangu ndio hayaoni vizuri?

Eti rangi ya dhahabu..!!

Tetea hoja yako usijifiche kwenye matusi, that proves you’re uneducated and uncivilized monkey tryna argue like uko na brain.... kajifunze kujadili mambo na intellectuals.

Fathead uncircumcised baboon.
Wee changudoa unajulia wapi dhahabu! Subiri wakutoe mavi upate kuishi!
 
Wee changudoa unajulia wapi dhahabu! Subiri wakutoe mavi upate kuishi!

Hoja ni rangi sio dhahabu we mbwiga, tulia ujifunze.... kichwani umejaa uharo huna adabu.

Fathead uncircumcised son of a bitch.
 
Hizo si bendera bali ni picha za bendera, swali linakuja umezitoa wapi??? Serikali, wizara ina kipi cha kujibu kuhusu hizo picha za bendera ambazo hata chanzo chake hatukijui, ebu siku nyingine muache kutafuta namna ya kuleta chokochoko zenu nyie mapimbi, shwaini kabisaa. Na ukijaribu kuni quote/reply NAKUOA.
 
Hoja ni rangi sio dhahabu we mbwiga, tulia ujifunze.... kichwani umejaa uharo huna adabu.

Fathead uncircumcised son of a bitch.
Adabu kampe mama yako kwanza maana baba yako humjui!
 
mkuu zipo mtaani kwetu! Ngoja nitazipiga picha zikiwa mlingotini! niwaletee!
 
Hivi kumbe maji ya bahari yana rangi ya bluu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zote rangi zake zimekosewa!! Sasa muendelee kutoa kasoro kwa kila moja!
 
kosa ni elimu! Zamani bendera ya taifa ilitungiwa hata wimbo wanafunzi tuliuimba tukikimbia mchakamchaka, ki rahisi tu tulizijua rangi muafaka!
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka ya marekani hapa mpaka kwenye mtumba zipo na zinazeeka na rangi zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bendera Ni moja tu!wazee wetu huko miaka hiyo waliimba rangi za bendera mashuleni ila sisi tulio zaliwa juzi juzi apa itatupa shida hata kuzitofautisha.
 
Weka ya marekani hapa mpaka kwenye mtumba zipo na zinazeeka na rangi zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief, mtu anaetengeneza mwenyewe na anaeagizia atengenezewe ni vitu viwili tofauti. Then nchi ambayo ina uchumi mzuri hata quality ya vitu vyao usilinganishe na third world countries bado hujaweka mambo ya 10% kwa wazabuni wanaopatiwa tenda ya kutengeneza.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 

Hii ndio rangi halisi ya bendera ya Tanzania.


Na siyo rangi tofauti na uyakayoiona hapo.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…