Hivi hizi zote ni bendera za Tanzania au macho yangu ndio hayaoni vizuri?

View attachment 1330146
Hii ndio rangi halisi ya bendera ya Tanzania.

View attachment 1330149
Na siyo rangi tofauti na uyakayoiona hapo.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Hata serikali yenyewe haina uhakika na rangi za bendera yake. Ukitaka kuamini hilo angalia kwa makini na kulinganisha rangi ya blue kwenye bendera na coat of arms (alama ya bibi na bwana) utagundua kwamba zinatofautiana. Hata kwenye website ya serikali kasoro hiyo ipo tena kwa uwazi kabisa. Hata sura za bwana na bibi kwenye coat of arms ubadilika badilika bora hata wachoraji tofauti wa katuni za Lodi Lofa na Madenge muda wote upatia sura zao.
 
Yapili haitakiwi kabisa. Ya mwisho ni uchakavu ndo inakuwa hivi. Mashuleni ziko kama ya mwisho
 
Hata chadema hawaelewi
wabaki na mbowe au waunge mkono
 
Hero,
Ya pili ndio halisi, hizo nyingine ni madhara ya Tecno na Itel
Ya mwisho. Ndio yenyewe. Fikiria hasa hiyo blue inawakilisha kitu gani kwenye hiyo bendera ya pili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…