Hii nchi ni vurugu tu hata CCM wenyewe hawaeleweki kama ni wanafuata siasa za ujamaa au kibepari. Siku wakijua wanafuata siasa gani watapata muda wa kushughulikia rangi ya bendera....BTW hiyo bendera rangi zake ni blue, nyeusi, njano na kijani au ni blue, nyeusi, dhahabu (gold) na kijani?