Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Huyo mtu bado hajazaliwa Mkuu.
Sio kila kete ni yakugusa, zingine ni tiketi ya kuzimu
Tiketi ya kuzimu unaijua wewe watu wanatapeli kila siku viwanja tena ukijichanganya unauwawa kabsa achana na wenye pesa na mamlaka huoni hata kesi zinazoibuliwa na slaa na hzo ni chache sehemu kama masaki na mbweni ukizubaa unakuta unaambiwa hilo eneo atajengewa mkuu wa majeshi mstaafu na serikali
 
Kuna mtu huku jf alishawahi kuweka Uzi analalamika. Yeye kajenga nyumba yake alafu kaizungushia fensi. Ila jirani yake kaja kujenga ghorofa, akiwa kibarazani kwake anayaona yote yanayoendelea kwa jamaa [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Nimekuambia huyo mtu hayupo na hawezi kuzaliwa.
 
Picha ya maudhui tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…