dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukijenga kama hii hata wewe utaonekana mtu kwenye watu,Haitafanana na kiwango cha nyumba za mtaa huu
hamna kipo mbali sio baharini... ni kitunda hukoKiwanja kisafi na minazi hiyo, kinaonekana karibu na bahari kabisa hapo
Kila la kheri mkuu
Hebu andika haya mambo kisomi na kwa mujibu wa sheria usiweke mihemko na mawazo yako binafsi, siyo unaleta habari za oo sijui kiIQ mara mtu aliyeelimika na blah blah kibao, ni kanuni gani inayosema hayoUlishawahi kujiuliza kwa nini vituo huwa vinatozwa faini au kufungiwa, kutokana na maudhui fulani? waongee wengine mmiliki awajibishwe? Kuna mengi hufanyika ambayo wewe huwezi kujua zaidi ya mmiliki wa forum. Mtu aliye elimika hawezi kutaja taja majina ya watu hovyo.
Yeah kuna mansion moja kule kwa samia asee hadi nilitamani nigonge geti, niingie nikampigie salute mwenye ule mjengo sijui ni wa nani asee, ile lami ya kule chini baharini wakipaweka vizuri rodeo drive hii hapa asee
Ukijenga kama hii hata wewe utaonekana mtu kwenye watu,
Vyumba vichache ila muonekano wa maanaView attachment 2959607
Tatizo ni vibali vya kumiliki wanyama hao pamoja na ufinyu wa eneo
Halafu huu ujinga mkiwa mna jadiliana, una kimbilia mambo ya PhD Ume Anza lini??.
Mbona watu wengi wenye mafanikio katika sekta baadhi, Hawana hivyo vitu- na still Wana wanyoosha katika nyanja Fulani??
Mjomba kungekuwa na mada ya kuhitaji uchambuzi na hoja nzito nakuhakikishia tungekesha hapa, ila kwenye hii mada umejikanyaga sema unaamua kuficha aibu ya kuumbuka kwa kuleta mambo ya phd na ubongo wa kenge, we jibu kwanza swali langu pale juu kisha tuendelee na mada
Jomba Hana uwezo wa kufanya majadiliano kiustadi.Mkumbushe kuwa hata 'honorary PhD' nayo pia inaitwa ni 'PhD'.
Hata hivyo, siyo kila mwenye Doctorate PhD ana mafanikio (kifikra au kiuchumi). 😎
-Kaveli-
Kaka Humu hakuna Jobless pro max kuliko Mimi.lakin kaka c ulisema we ni jobless hueleweki, watu mnatuchora sana 😂
Huwa nashangaa sana pale watu wawili wanapobishana, halafu mmoja ndiye anayeonekana mbishi, mkuu huyo angekuwa hapendi ligi tusingefika hapaJadda Pinket mzee wa ligi..... samaleko mkuu 😎
-Kaveli-
sema jadda nakukubali sana , huw napitia replies zako , unajua kujenga hoja kwa namna nzuri sana. 😂Huwa nashangaa sana pale watu wawili wanapobishana, halafu mmoja ndiye anayeonekana mbishi, mkuu huyo angekuwa hapendi ligi tusingefika hapa
Hiyo ploti kuna waziri ataikwapua na hutakuwa na kwa kumpeleka endelea kushangaa
Shukrani Mkuu 🙏🙏sema jadda nakukubali sana , huw napitia replies zako , unajua kujenga hoja kwa namna nzuri sana. 😂
PoaNakuombea uipate mkuu, umenimotivate sana!
Ramani nilii misplace naendelea itafuta, nikiikosa nyumba ikiisha nitawawekea hapa