Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ndio mchangie hoja kwa ustaarabu, kuna mwingine akikutazama tu machoni au kwenye ngozi, atakuamboa una malaria n.kUsi ishi kwa ku claim, wengine hatuna hata ndala sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mchangie hoja kwa ustaarabu, kuna mwingine akikutazama tu machoni au kwenye ngozi, atakuamboa una malaria n.kUsi ishi kwa ku claim, wengine hatuna hata ndala sasa
Ona Sasa, Sasa hapa Ume mtazama nani 🤔Ndio mchangie hoja kwa ustaarabu, kuna mwingine akikutazama tu machoni au kwenye ngozi, atakuamboa una malaria n.k
Naona jamaa amepotea 😀Ona Sasa, Sasa hapa Ume mtazama nani 🤔
Mhhhh hiki kiwanja ulinunua mwaka gani? Una bahati mkuu.40*35
Sitafuti mteja lakini
Jamaa yupi Sasa??,Naona jamaa amepotea 😀
Tulikuwa tunashea abc, au ni ID yako nyingine?Jamaa yupi Sasa??,
Ohh kumbe una mzungumzia Jadda, huyo ni mdada mkuu.Tulikuwa tunashea abc, au ni ID yako nyingine?
😀 😀 😀 kumbe wewe unawajua wengi humu mpaka jinsia?Ohh kumbe una mzungumzia Jadda, huyo ni mdada mkuu.
Jifunze kuandika kwa usahihi, ngumbe ndo nini ??😀 😀 😀 ngumbe wewe unawajua wengi humu mpaka jinsia?
Mjomba kungekuwa na mada ya kuhitaji uchambuzi na hoja nzito nakuhakikishia tungekesha hapa, ila kwenye hii mada umejikanyaga sema unaamua kuficha aibu ya kuumbuka kwa kuleta mambo ya phd na ubongo wa kenge, we jibu kwanza swali langu pale juu kisha tuendelee na madaKama huna thesis yoyote, hoja nzito utaweza kweli, au uchambuzi wa mada nzito utaweza kweli?
Sisi tunaoongea kiitaliano wakati mwingine hizi simu zetu zinasumbuaJifunze kuandika kwa usahihi, ngumbe ndo nini ??
Naona umerudi; tani moja ya kokoto ya 3/4 inakuwa na vijiwe vingapi?Mjomba kungekuwa na mada ya kuhitaji uchambuzi na hoja nzito nakuhakikishia tungekesha hapa, ila kwenye hii mada umejikanyaga sema unaamua kuficha aibu ya kuumbuka kwa kuleta mambo ya phd na ubongo wa kenge, we jibu kwanza swali langu pale juu kisha tuendelee na mada
Nasema hivi watu kama kina Mo na Bakhresa, wanashindwa kumiliki maeneo ya ekari kumi na zaidi nje ya mji, jibu hili swali kwanzaNaona umerudi; tani moja ya kokoto ya 3/4 inakuwa na vijiwe vingapi?
We unaona ni sahihi kutaja majina ya watu? ; ndio maana nikawa nauliza maswali ya kupima IQ kwanzaNasema hivi watu kama kina Mo na Bakhresa, wanashindwa kumiliki maeneo ya ekari kumi na zaidi nje ya mji, jibu hili swali kwanza
Hebu Lete neno la kiitaliano lenye kufanana na ngumbe ??..Sisi tunaoongea kiitaliano wakati mwingine hizi simu zetu zinasumbua
Si unaona sasa unavyojikanyaga kuna kosa gani kutumia mifano ya watu maarufu kama hao, au ulitakaa nikutajie majina ya matajiri ambao mimi nawafahamu ila wewe huwafahamu, bro leo utasema umetoa wapi habari za wanyama pori kwenye maeneo ya watuWe unaona ni sahihi kutaja majina ya watu? ; ndio maana nikawa nauliza maswali ya kupima IQ kwanza
Ebu zima taa zote pawe giza kabisa, ukodoe macho mpaka mwisho; alafu uniambie umeona niniHebu Lete neno la kiitaliano lenye kufanana na ngumbe ??..
Au ndo kuropoka kisa una keyboard 😄

Sina hata taa mkuu, huku nilipo tuna Tumia mwanga wa mweziEbu zima taa zote pawe giza kabisa, ukodoe macho mpaka mwisho; alafu uniambie umeona nini![]()
Ki IQ si sahihi kutaja jina la mtu yeyote ambaye kwenye mada yako hayupo na wewe karibu na hawezi kujitetea; pia ata tunapoanzisha nyuzi na kutaja majina ya watu ni makosa makubwa ya kiufundiSi unaona sasa unavyojikanyaga kuna kosa gani kutumia mifano ya watu maarufu kama hao, au ulitakaa nikutajie majina ya matajiri ambao mimi nawafahamu ila wewe huwafahamu, bro leo utasema umetoa wapi habari za wanyama pori kwenye maeneo ya watu