Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha porojo nyoosha maelezo vizuriJibu umeshalipata ila unajaribu kuruka ruka tu
Ile sehemu ardhi ina maji tepetepeHilo ni kweli kabisa, hapo kwake Kuna dude, jirani Wana ma mijengo ya kwenda.
Shida ni barabara hakuna, yaani ni Kona Kama vile tandale😄😂
Ubongo wa kenge una GB ngapi?Acha porojo nyoosha maelezo vizuri
Ali ongea kitu kwa sifa, maelezo yake Yana toka cartoon ya ubongo kids🤓Acha porojo nyoosha maelezo vizuri
Mule mule Kaka, Kuna mjengo niliona nje wame park v8 ka 3, shida ni maji maji tu 😂.Ile sehemu ardhi ina maji tepetepe
Suala la miundombinu limekaa kushoto sana nchi hii watu wanajijengea tu popote
Siku nyingine usirudie kuandika vitu usivyovijua, ona sasa unabaki unarukaruka tu kama bisi sababu ya kukosa majibu, ukiwa tayari kujibu swali langu basi tutaendelea na huu mjadalaUbongo wa kenge una GB ngapi?
Hapo ni katika kupima IQ yakoSiku nyingine usirudie kuandika vitu usivyovijua, ona sasa unabaki unarukaruka tu kama bisi sababu ya kukosa majibu, ukiwa tayari kujibu swali langu basi tutaendelea na huu mjadala
Jibu swali mzee, mambo ya iq na phd yanaingiaje hapa, jibu swali langu acha porojoHapo ni katika kupima IQ yako; inawezekana huna Phd
Kama huna thesis yoyote, hoja nzito utaweza kweli, au uchambuzi wa mada nzito utaweza kweli?Jibu swali mzee, mambo ya iq na phd yanaingiaje hapa, jibu swali langu acha porojo
Mzee acha uruga ruga, ume sema heka 10 mbweni ili uishi na wanyama.Kama huna thesis yoyote, hoja nzito utaweza kweli, au uchambuzi wa mada nzito utaweza kweli?
Unazo ngapi pale?Mzee acha uruga ruga, ume sema heka 10 mbweni ili uishi na wanyama.
Sasa mbona una jikimbia mwenyewe🤓
Halafu huu ujinga mkiwa mna jadiliana, una kimbilia mambo ya PhD Ume Anza lini??.Hapo ni katika kupima IQ yako; inawezekana huna Phd
Sina hata hatua 1 mzee, ndo mana SI brag hovyo😂Unazo ngapi pale?
Umefanya publication ngapi? nipe title nizitafute 😀Halafu huu ujinga mkiwa mna jadiliana, una kimbilia mambo ya PhD Ume Anza lini??.
Mbona watu wengi wenye mafanikio katika sekta baadhi, Hawana hivyo vitu- na still Wana wanyoosha katika nyanja Fulani??
Wapi Sasa ??Umefanya publication ngapi? nipe title nizitafute
Zipo huku bush nyingi tu 😀Sina hata hatua 1 mzee, ndo mana SI brag hovyo😂
Wana nzengo wanasema kaza buti 😀Wapi Sasa ??
Usi ishi kwa ku claim, wengine hatuna hata ndala sasaWana nzengo wanasema kaza buti 😀