Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Kaka Mimi sija ulizia kiwanja popote, nili taka kuona ramani ya mkuu luckyline tu.

Beside nataka angusha kidude flani hivi, so nataka nicheki kitu Cha kuni fanya niji tathimini😁.

Beside huko bunyokwa SI uchawini kabisa šŸ˜‚ Eyce

Ahhh kimara kunakuwaje uchawini brother , usidanganywe na jina brother maana hata mbweni wangekaa wachovu jina lingeonekana baya, so bonyokwa pakikucha mtakuja😁
 
Ahhh kimara kunakuwaje uchawini brother , usidanganywe na jina brother maana hata mbweni wangekaa wachovu jina lingeonekana baya, so bonyokwa pakikucha mtakuja😁
Nazingua tu, beside nili wahi enda kwa Jamaa yangu kajenga kinyerezi kanisani kule.

Aisee Kuna midude ya maana halafu ni Kama Wana test mitambo tušŸ˜‚.

Watu wame shusha mijengo ya kwenda, ule mtaa wao sio Poa kabisa.
Kwa vichenchi vyetu hapafai kuunga unga 😁.
Nahisi kina Extrovert na Jadda Wana pajua labda!
 
Nazingua tu, beside nili wahi enda kwa Jamaa yangu kajenga kinyerezi kanisani kule.

Aisee Kuna midude ya maana halafu ni Kama Wana test mitambo tušŸ˜‚.

Watu wame shusha mijengo ya kwenda, ule mtaa wao sio Poa kabisa.
Kwa vichenchi vyetu hapafai kuunga unga 😁.
Nahisi kina Extrovert na Jadda Wana pajua labda!
Dar mipango miji waliikosea toka zamani, kila sehemu ina uswazi na ushuani 😁
 
Kama ukubwa wa kiwanja haufiki ekari kumi, huko hakufai kuishi.
Sifa nyingine mbaya sana, una elewa ulicho andika kwelišŸ˜€.

Kama 40 Kwa ngapi Zina kushinda, hiyo hekari 10 huko mbweni SI utauza Hadi Figo za ukoo wenu na msitoshešŸ¤£šŸ˜€.

Extrovert , Eyce, oneni hii zuzu mpenda sifa 🤣
 
Sifa nyingine mbaya sana, una elewa ulicho andika kwelišŸ˜€.

Kama 40 Kwa ngapi Zina kushinda, hiyo hekari 10 huko mbweni SI utauza Hadi Figo za ukoo wenu na msitoshešŸ¤£šŸ˜€.

Extrovert , Eyce, oneni hii zuzu mpenda sifa 🤣
Akili za kimasikini kabisa, watu wanaishi na wanyama pori ndani au hujui hilo; zunguka uone.
 
Nazingua tu, beside nili wahi enda kwa Jamaa yangu kajenga kinyerezi kanisani kule.

Aisee Kuna midude ya maana halafu ni Kama Wana test mitambo tušŸ˜‚.

Watu wame shusha mijengo ya kwenda, ule mtaa wao sio Poa kabisa.
Kwa vichenchi vyetu hapafai kuunga unga 😁.
Nahisi kina Extrovert na Jadda Wana pajua labda!
Kanisa gani mkuu, Kinyerezi tumeishi muda kidogo tulihamia miaka ya late 2000s kipindi hiko bado kuna mapori, Baadaye ndio watu wakaanza kushusha mijengo na lami zikaanza kuwekwa though tulikuja kuhama miaka ya late 2010s hapo
 
Ni kweli mkuu, ndio maana tuna mbuga za wanyama kila kona, ila tunategemea wazungu ndio waje wazitembelee
Tofautisha kati ya kuishi nao na kuwatembelea kwenye maeneo yao, unaishi nchi gani hiyo ambayo wanaotembelea mbuga za wanyama ni wazungu pekee, kuna matajiri wengi tu na hawana mbuga za wanyama majumbani mwao
 
Habari za Sabato Wakuu!

Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.

Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.

Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.

Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.

Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.

Santeni
Watie doa tu mkuu. Nchi huru hii. Usiuze
 
Kanisa gani mkuu, Kinyerezi tumeishi muda kidogo tulihamia miaka ya late 2000s kipindi hiko bado kuna mapori, Baadaye ndio watu wakaanza kushusha mijengo na lami zikaanza kuwekwa though tulikuja kuhama miaka ya late 2010s hapo
kuna sehemu tuli pita Kuna kanisa pale, sija jua ni dhehebu lipi lile.

Ila Niki sikia ni kinyerezi kanisani, pako poa mno
 
Back
Top Bottom