Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Ahhh kimara kunakuwaje uchawini brother , usidanganywe na jina brother maana hata mbweni wangekaa wachovu jina lingeonekana baya, so bonyokwa pakikucha mtakujaš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazingua tu, beside nili wahi enda kwa Jamaa yangu kajenga kinyerezi kanisani kule.Ahhh kimara kunakuwaje uchawini brother , usidanganywe na jina brother maana hata mbweni wangekaa wachovu jina lingeonekana baya, so bonyokwa pakikucha mtakujaš
Lakini Yanga imeweka historia kubwa kwa Taifa.Amini usiamini goli la Yanga halikuwa halali. Ubuntu Botho
Dar mipango miji waliikosea toka zamani, kila sehemu ina uswazi na ushuani šNazingua tu, beside nili wahi enda kwa Jamaa yangu kajenga kinyerezi kanisani kule.
Aisee Kuna midude ya maana halafu ni Kama Wana test mitambo tuš.
Watu wame shusha mijengo ya kwenda, ule mtaa wao sio Poa kabisa.
Kwa vichenchi vyetu hapafai kuunga unga š.
Nahisi kina Extrovert na Jadda Wana pajua labda!
ni kweli ukitaka kuamini nunua TV kubwa uangalie vizuriAmini usiamini goli la Yanga halikuwa halali. Ubuntu Botho
Yeah, shida barabara ndo kwishney kule šš¤£Dar mipango miji waliikosea toka zamani, kila sehemu ina uswazi na ushuani š
Akili za kimasikini kabisa, watu wanaishi na wanyama pori ndani au hujui hilo; zunguka uone.
HiZo zako ni Akili za kukulism Aisee,š¤šAkili za kimasikini kabisa, watu wanaishi na wanyama pori ndani au hujui hilo; zunguka uone.
Kilo moja ya mchele ina punje ngapi?HiZo zako ni Akili za kukulism Aisee,š¤š
Ina depend na mchele wenyewe š, sisi Huku punje 1 ni Kama hi di zimaKilo moja ya mchele ina punje ngapi?
Kanisa gani mkuu, Kinyerezi tumeishi muda kidogo tulihamia miaka ya late 2000s kipindi hiko bado kuna mapori, Baadaye ndio watu wakaanza kushusha mijengo na lami zikaanza kuwekwa though tulikuja kuhama miaka ya late 2010s hapoNazingua tu, beside nili wahi enda kwa Jamaa yangu kajenga kinyerezi kanisani kule.
Aisee Kuna midude ya maana halafu ni Kama Wana test mitambo tuš.
Watu wame shusha mijengo ya kwenda, ule mtaa wao sio Poa kabisa.
Kwa vichenchi vyetu hapafai kuunga unga š.
Nahisi kina Extrovert na Jadda Wana pajua labda!
Siyo kila mtu anapenda kuishi na wanyama pori mkuuAkili za kimasikini kabisa, watu wanaishi na wanyama pori ndani au hujui hilo; zunguka uone.
Ni kweli mkuu, ndio maana tuna mbuga za wanyama kila kona, ila tunategemea wazungu ndio waje wazitembeleeSiyo kila mtu anapenda kuishi na wanyama pori mkuu
Tofautisha kati ya kuishi nao na kuwatembelea kwenye maeneo yao, unaishi nchi gani hiyo ambayo wanaotembelea mbuga za wanyama ni wazungu pekee, kuna matajiri wengi tu na hawana mbuga za wanyama majumbani mwaoNi kweli mkuu, ndio maana tuna mbuga za wanyama kila kona, ila tunategemea wazungu ndio waje wazitembelee
Tatizo ni vibali vya kumiliki wanyama hao pamoja na ufinyu wa eneoTofautisha kati ya kuishi nao na kuwatembelea kwenye maeneo yao, unaishi nchi gani hiyo ambayo wanaotembelea mbuga za wanyama ni wazungu pekee, kuna matajiri wengi tu na hawana mbuga za wanyama majumbani mwao
Watie doa tu mkuu. Nchi huru hii. UsiuzeHabari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
kuna sehemu tuli pita Kuna kanisa pale, sija jua ni dhehebu lipi lile.Kanisa gani mkuu, Kinyerezi tumeishi muda kidogo tulihamia miaka ya late 2000s kipindi hiko bado kuna mapori, Baadaye ndio watu wakaanza kushusha mijengo na lami zikaanza kuwekwa though tulikuja kuhama miaka ya late 2010s hapo