King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mimi dalali naweza nikakutafutia mteja ,hapo upo jirani na Mama Kizimkazi na hapa ipo 😀 😀 😀 .😀😀
Unatakaje kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi dalali naweza nikakutafutia mteja ,hapo upo jirani na Mama Kizimkazi na hapa ipo 😀 😀 😀 .😀😀
Unatakaje kwani?
Samahani mkuu, naeza ona mfano wa ramani hiyo! luckylineUsiuze wewe jenga kutokana na uwezo wako, watoto wako ndo watafaidi hicho kiwanja na watakushukuru kwa kununua huko.
Usiwe na mawazo ya kuwaza vitu vidogo uwezo wako huo mdogo, do big things.
Tena sisi ambao hatuna pesa, tuna pesa za kudunduliza ndo tunafanya big things.
Miaka mi 3 ilopita nilikutana na ramani mtandaoni nikasema nitajenga nyumba kama hii, ile ramani ni kaliiiiiii balaa akijenga tajiri akakufulu.
2021 hiyo nikaweka msingi tu, nikatulia wakaongea weee ,oh kujidai hii nyumba ataiwezea wapi? Nyumba kubwa kama kanisa yetu macho msingi utamaliza miaka 20🤣 nyumba ina kona kama barabara 😅
Mungu sio ldi juzi nikaenda nikanyanyua nikaipiga lenta mbili, ninavyoongea muda huu majirani hawanisalimii.
Soon naezeka afu natulia niwape nafasi ya kukaa vikao tena. Nahitaji bati kama 150. Maana kutokana na ile design zinakatwa sana.
Sina haraka nikipata laki 5 nafanya kidogo. Hela za kufanya kwa mkupuo sina ila lazima nifike malengo, haijalishi itachukua miaka mingapi.
Sasa wewe umeweza nunua kiwanja mil 32 utashindwa kujenga nyumba nzuri kisa majirani ji mataita?
Unatakiwa kuishi na hao hao la muhimu tafuta ramani nzuri.
Sisi ambao tunadunduliza ndo tunafanya vitu vikali usiogope. Kula kutokana na urefu wa kamba yako.
Mimi sijawahi kuwaza vitu vidogo ningekuwa na hela kama ninavyoona watu wanachezea hela ningefanyaga vitu vikubwa.
N.b usijinyime ukala vibaya kisa unaserv kwa ajili ya kujenga, kula vizuri fanya mazoezi, kunywa maji mengi sana, tumbo mdo tutaenda nalo kaburini, nyumba na magari vitabaki vikigombaniwa dunia.
Mbinguni hakuna hotel.
Nita shukuru sana mkuu, huenda Ika nishawishi pia kuji tathimini kwa kina.Najaribu kuitafuta sikumbuki niliiserv kwenye file lipi maana kuna siku nilihamisha vitu vingi kwenda kwenye pc, nikiipata nafanya hivyo.
Hii ramani naendelea kuitafuta sikumbuki niliiweka kwenye fail lip, nilihamisha vitu kutoka kwenye sim to pc sasa natafuta bado sijafanikiwa ila nitaipata usijaliMkuukama hutojali naomba hiyo ramani DM nami nijipe stress nayo. Ahsante
Kote huko napafahamu mkuu huko kote ni mtaa wa Maputo ndio mwisho wa lami, sasa mbona huko kuna afadhali mtaa wa Mbweni ndio asilimia kubwa ni uswahilini na ndio kumejaa wamakonde na hao wapemba unaowasema, viwanja ambavyo havijapimwa vipo hata kwenye mitaa ya ushuani mfano Malindi na Mpiji ni ushuani ila kuna viwanja havijapimwa badoMbweni Kijijini ni pale center wanapogeuzia magari ya Makumbusho-Mbweni ,Pale walipojazana wapemba/Mamwinyi ukienda Mbele kuna kamto kamepakana na kambi ya Jeshi - Kiembeni ,Pale hapajapimwa ni slum.
Jadda hulali rafiki 🤓Kote huko napafahamu mkuu huko kote ni mtaa wa Maputo ndio mwisho wa lami, sasa mbona huko kuna afadhali mtaa wa Mbweni ndio asilimia kubwa ni uswahilini, viwanja ambavyo havijapimwa vipo hata kwenye mitaa ya ushuani mfano Malindi na Mpiji ni ushuani ila kuna viwanja havijapimwa bado
Niliamka kunywa Maji mkuu 😎😎Jadda hulali rafiki 🤓
Sawa mkuu, endelea kutazama DStv sio mbaya , 🤓Niliamka kunywa Maji mkuu 😎😎
We jamaa acha kuchangamsha threads za future billionaires. Pesa hazipendi kelele 😁Sawa mkuu, endelea kutazama DStv sio mbaya , 🤓
Hahaha dah .. we jamaa una maneno hatare! , ni kama wandengereko pia walivyouza maeneo yao huko madale na mivumoni..daah! Leo hii Madale na mivumoni inakuja kwa kasi sanaHamna mtoto mjinga wa kuuza nyumba Masaki ili akaishi Chanika 😂 labda kama umezaa na mzaramo
Kwahiyo watajenga na IST nyingine huko na hawa mabalozi majirani zetu watahamia huko?Mbweni Value yake inaelekea huko huko after several years inakuwa kama Masaki tu sababu ya aina ya wakazi waliojenga huko.
mabalozo watakuja ikiwa itajengwa hotel ya kisasa ya nyota 5Kwahiyo watajenga na IST nyingine huko na hawa mabalozi majirani zetu watahamia huko?
Hahaha wasichoelewa watu mji unatanukia Goba, madale😂, mbweni kiufupi alongside Bagamoyo Road na huko ni kwa Mid Class Income earners wa kipato cha 50M to 100M annually pamoja na high income earners wa kuanzia 300M na zaidi.Hahaha dah .. we jamaa una maneno hatare! , ni kama wandengereko pia walivyouza maeneo yao huko madale na mivumoni..daah! Leo hii Madale na mivumoni inakuja kwa kasi sana
Nakuombea uipate mkuu, umenimotivate sana!Hii ramani naendelea kuitafuta sikumbuki niliiweka kwenye fail lip, nilihamisha vitu kutoka kwenye sim to pc sasa natafuta bado sijafanikiwa ila nitaipata usijali
kaka Nime kosea wapi tena, au kuto kukaa daslam nayo ni kosa 😆🤣We jamaa acha kuchangamsha threads za future billionaires. Pesa hazipendi kelele 😁
Unapiga kelele sana, unaulizia viwanja na ramani za mbweni halafu huku bonyokwa unataka akae nani 😁kaka Nime kosea wapi tena, au kuto kukaa daslam nayo ni kosa 😆🤣
Kaka Mimi sija ulizia kiwanja popote, nili taka kuona ramani ya mkuu luckyline tu.Unapiga kelele sana, unaulizia viwanja na ramani za mbweni halafu huku bonyokwa unataka akae nani 😁