reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Kaah[emoji2][emoji2][emoji2]We endelea kukesha JF ukijifanya mwanafilosofia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaah[emoji2][emoji2][emoji2]We endelea kukesha JF ukijifanya mwanafilosofia.
Nawe uko vzr mwee 32m kwetu chanika na gomz unannua nyumba kabisa hyo tena bonge jumbaa la kulinda heshima
Nawe uko vzr mwee 32m kwetu chanika na gomz unannua nyumba kabisa hyo tena bonge jumbaa la kulinda heshima
Kwamba watu kama akina Mo na Bakhresa wanashindwa kupata vibali vya kumiliki wanyama pori pamoja na maeneo ya kuwawekaTatizo ni vibali vya kumiliki wanyama hao pamoja na ufinyu wa eneo
Wako kwenye ekari ngapi?Kwamba watu kama akina Mo na Bakhresa wanashindwa kupata vibali vya kumiliki wanyama pori pamoja na maeneo ya kuwaweka
Ni karibu na stendi ya magari aukuna sehemu tuli pita Kuna kanisa pale, sija jua ni dhehebu lipi lile.
Ila Niki sikia ni kinyerezi kanisani, pako poa mno
Ndio maana nikakuuliza kwani wanashindwa kununua hizo ekari nyingiWako kwenye ekari ngapi?
Kwa nini nchi za wenzetu wanamiliki ndege binafsi, huku ni tofauti?Ndio maana nikakuuliza kwani wanashindwa kununua hizo ekari nyingi
Ile kinyerezi wanapaita kwa mbunge kuna mijengo ya watu utadhani ni majengo ya halmashauri ila barabara sasa 🚮Nazingua tu, beside nili wahi enda kwa Jamaa yangu kajenga kinyerezi kanisani kule.
Aisee Kuna midude ya maana halafu ni Kama Wana test mitambo tu😂.
Watu wame shusha mijengo ya kwenda, ule mtaa wao sio Poa kabisa.
Kwa vichenchi vyetu hapafai kuunga unga 😁.
Nahisi kina Extrovert na Jadda Wana pajua labda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwajui aunt
Sasa ndege binafsi na mbuga za wanyama vinahusiana nini, nenda kawaulize hao unaoona wana uwezo wa kumiliki ndege binafsi kwanini hawamiliki, au tayari una majibu yako kichwaniKwa nini nchi za wenzetu wanamiliki ndege binafsi, huku ni tofauti?
Ndio ujue kutofautisha sasaSasa ndege binafsi na mbuga za wanyama vinahusiana nini, nenda kawaulize hao unaoona wana uwezo wa kumiliki ndege binafsi kwanini hawamiliki, au tayari una majibu yako kichwani
We Jenga huko uwapelekee mkeo wa mkule nyamaHabari za Sabato Wakuu!
Wiki nzima hii nilikuwa huku Mbweni, ninakijiplot changu. Sasa kwa hali niliyoikuta nimejikuta ninakata tamaa.
Aiseeh! Hawa majirani zangu sio Pouwa. Hii mijengo walioidondosha na wanaoidondosha sio Pouwa! Unaweza ukadhani upo kwenye filamu za kinaijeria.
Hapa nashauriwa niuze hiki kiwanja kwa sababu pesa ya kujenga vyuma kama vile haiwezekaniki bila kuwa aidha mwekezaji, Fisadi, muuza madawa, mfanyabiashara wa madini, Mwanasiasa mlafi, mzee wa dili haramu na katili, mzee wa kuzamisha wavuni mipira iliyokufa na Watu wa aina hiyo.
Magari yanayopita huku ni magari mazito, Chris Lukosi huita madungu jeshi.
Hivi kweli hawa wanaojenga huku Mbweni ni Watanzania kweli? Maana umaskini wa nchi yetu na hizi nyumba huku ni mbingu na ardhi.
Santeni
Haoana, tuli papita hapo, sisi tulikuwa Kwa gari binafsi.Ni karibu na stendi ya magari au
Kutofautisha nini sasa mbona kama umebadili mada, mbuga za wanyama na ndege binafsi vinahusiana nini, hebu fafanua vizuri hapoNdio ujue kutofautisha sasa
Tatizo kuna makanisa mengi ni ngumu kugundua ni lipiHaoana, tuli papita hapo, sisi tulikuwa Kwa gari binafsi.
Kanisa Nili liona kabisa
Jibu umeshalipata ila unajaribu kuruka ruka tuKutofautisha nini sasa mbona kama umebadili mada, mbuga za wanyama na ndege binafsi vinahusiana nini, hebu fafanua vizuri hapo
Yap, na Mimi kule SI mwenyeji kivipe mtaa ule.Tatizo kuna makanisa mengi ni ngumu kugundua ni lipi
Hilo ni kweli kabisa, hapo kwake Kuna dude, jirani Wana ma mijengo ya kwenda.Ile kinyerezi wanapaita kwa mbunge kuna mijengo ya watu utadhani ni majengo ya halmashauri ila barabara sasa 🚮