Huyo kaka yupo humu?Kuna mkaka kanunua gari used ya kawaida tu lakin kabadilika jamani,,zamani alisalimia kila kila mtu sasa hivi hasalimii anajikweza sijui anaona kamaliza kila kitu ,,,,sasa si angeacha kuwa kusalimia tu toka zamani ,,kwanini ubadilike si watu lazima watakusemaa,zamani alijichanganya na watu sasa hivi sijui anajionaje sitaki kumhukumu aisee huwezi jua yaliyompata .
Maana kuna rafiki yangu walikuwa wanaongea sana na kuchangamkiana siku hizi siyaoni hayo kama hamjuii ahahahahah
Tatizo wakati huna gari ulisalimia na kuwapa hi washkaji umenunua gari lako tena la kawaida tu ndio husalimii kwanini toka zamani usalimiee?ukinunua gari ukapita kitaa ukiwapa hi wadau lazima waseme unaringa ukifunga vioo ukapita kimya kimya ndio kama hivi....ila sijajua sisi waswahili tatizo letu ni nini?
Kweli mkuu kila utakacho fanya kwao kitaonekana kibaya.ukinunua gari ukapita kitaa ukiwapa hi wadau lazima waseme unaringa ukifunga vioo ukapita kimya kimya ndio kama hivi....ila sijajua sisi waswahili tatizo letu ni nini?
shida iko hivi jamaa angeendelea kusalimia waswahili wangeanza kumsema anaturingishia, na wengine kama mimi tungesema jamaa mshamba wa gari kila akipita anapiga honi na kusimama......dawa ni kupita kimya kimyaTatizo wakati huna gari ulisalimia na kuwapa hi washkaji umenunua gari lako tena la kawaida tu ndio husalimii kwanini toka zamani usalimiee?
Hivi niwaulize; unaweza kuendesha Gari km 6 ukawa unasalimia kila unayeonana naye?Tatizo wakati huna gari ulisalimia na kuwapa hi washkaji umenunua gari lako tena la kawaida tu ndio husalimii kwanini toka zamani usalimiee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akili za kimasikini hizi! Kwani mtu asipokusalimia anakupunguzia nini kwa mfano?!